Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Abeeeeeh mchumbaaaa, niko hapaaa. Sitaki kishikwambiii mie nataka I4n 14 pro.
Wewe na Antonnia si mnatumia 14 pro max

Staki tufike huku siunajua vile nakuheart
Screenshot_20230121-063934.jpg
 
Ipo siku tutayasahau watatuheshimu walotudharau

Kaza moyo nivumiliee

Amini tutayasahau watatuheshimu wanaotudharau wotee

Na ntakununulia (vyote)

Mawigi na simu (vyote)

Nitakuzawadia (vyote)

Pochi zenye thamani (vyote)

Na we wenda waringishia (vyote)

Utembee kwa uskani (vyote)

Na vioo ukiwafungia (vyote)
Bebee umekua mwimba mashairi tangu lini?
 
Ila humu ni balaa nakwambia Antonnia naye yupo busy kumpepea babu Grahams muda si mrefu utasikia mzee wa watu kafia kifuani kwa utamu
Kuna kitu kinanishangaza

Kuna muda wote wawili wanapotea

Halafu wanarudi ghafla

Itakuwa wanapelekeana moto hawa

Kama Maya na Masta

Na lenyewe linakiri kabisa

Linapenda kupelekewa moto



Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom