Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

aaah wapi, huwezi niona niko invisible kidogo. Kwa mwendokasi kama wewe ni mfupi kama mimi unaweza kufwa wallah, hiyo suffocation sio ya kitoto. Usafiri mzuri, usimamizi mbovu kabisa.
We acha tu..
Tushazoea tabu za Dunia.
Hapo kwenye foleni jua linawabomoa vichwa,akina Mashimo wanadai sadaka,yaani tabu tupu .

Ukiwa kimbaombao kama mimi ni rahisi kupenya,,wakivuruga foleni na mimi naenda kujipachika mbele najikuta nishafika ndani .
Kuna route ukipanda daladala unachelewa,option pekee ni hayo ma Uda.
Wafupi nyundo ndio hata hamuoni foleni😁

Nimekuona aisee,sema Suu nitume picha😂
 
poleni jamani dah .. Kuna mda nilikuwa natoka kibaha kuja posta nauli 3600
Ijumaa iliyopita kabla ya hii ya juzi,
Tulikaa hapo zaidi ya saa nzima,,gari ishafika kitambo hapo stand..ila zinashindwa kuja hapo kwa foleni ya kupandia maana daladala ziliblock njia.
Nilikuwa kwenye foleni ya kukaa maana nilikuwa sijisikii vizuri.

Kuna watu sijui wameumbwa kutendesha wenzao dhambi 🤔,
Wamepanda gari wakiona kabisa limejaza..halafu mdada mmoja anakuja nilipokaa anasema eti nimpishe mama Fulani akae.
Nikawambia siwezi kusimama ndo maana hata mm nimesubiri gari la seat.
Eti mpishe dada jamani huyu ni mkubwa..ananilazimisha.
Aisee Kuna watu ni wapumbavu sana.
Yaani nimpishe mtu aliyeamua kusimama mwanzo wa gari?Na gari inaenda kivukoni.
Hata awe nani,sisimami.

Nitampisha mtu aliyepandia njiani,tena nitakapojisikia..ila siyo wote tupandie mbezi,umeamua kusimama tangu mwanzo ukitegemea upishwe.
 
Ijumaa iliyopita kabla ya hii ya juzi,
Tulikaa hapo zaidi ya saa nzima,,gari ishafika kitambo hapo stand..ila zinashindwa kuja hapo kwa foleni ya kupandia maana daladala ziliblock njia.
Nilikuwa kwenye foleni ya kukaa maana nilikuwa sijisikii vizuri.

Kuna watu sijui wameumbwa kutendesha wenzao dhambi ,
Wamepanda gari wakiona kabisa limejaza..halafu mdada mmoja anakuja nilipokaa anasema eti nimpishe mama Fulani akae.
Nikawambia siwezi kusimama ndo maana hata mm nimesubiri gari la seat.
Eti mpishe dada jamani huyu ni mkubwa..ananilazimisha.
Aisee Kuna watu ni wapumbavu sana.
Yaani nimpishe mtu aliyeamua kusimama mwanzo wa gari?Na gari inaenda kivukoni.
Hata awe nani,sisimami.

Nitampisha mtu aliyepandia njiani,tena nitakapojisikia..ila siyo wote tupandie mbezi,umeamua kusimama tangu mwanzo ukitegemea upishwe.
Hahaha...hapo kupisha Mtu panakera mwanzo WA gari Mtu anaona gari limejaa kabisa anapanda afu mwanzo miye pia sipishi,uwe na mtoto,mimba au vyovyote vile njiani Sawa ila mtu mzima TU ndo nampisha ,mimba starehe,mtoto starehe wapambane kivyao
 
Hahaha...hapo kupisha Mtu panakera mwanzo WA gari Mtu anaona gari limejaa kabisa anapanda afu mwanzo miye pia sipishi,uwe na mtoto,mimba au vyovyote vile njiani Sawa ila mtu mzima TU ndo nampisha ,mimba starehe,mtoto starehe wapambane kivyao
Mimi hata uwe na mtoto
Kama umepandia mwendokasi mwanzo sikupishi.
Kwa huruma naweza kumchukua mtoto nimpakate.

Ukipanda gari lililojaa ,tena mwanzoni mwa gari,tafsiri yake ni kwamba umejipima unaweza kusimama.
 
Kwanza
Kuna sehemu ukichungulia bado iko


Sasa ukivaa kigodoro, mkafika ndani mzeeiya asione taqo inakuwaje?
Unajitetea nn

Dyadyaaaaa kwan navaaga mtaan sasa? Navaa kupigia pichaaa.
Au siku nkishinda ndan ndo najishaua kushinda navyooo, nataman trakoooooo, nyie ngojeni nipateee pesaaaa.

Lazima niende uturukiiii, nikitokaaa hukoo niko mpyaaaa.

 
Valentine's gifts, andaa mapema, ni 60,000= kama ilivyo na box lake. 55,000= bila box
IMG-20230116-WA0040.jpg
View attachment 2483229View attachment 2483214View attachment 2483224
IMG-20230116-WA0035.jpg
IMG-20230116-WA0036.jpg
IMG-20230116-WA0034.jpg
View attachment 2483228View attachment 2483230View attachment 2483234View attachment 2483231
IMG-20230116-WA0028.jpg
IMG-20230116-WA0016.jpg
 
Back
Top Bottom