sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Hapana. Nasubiri Kama kuna vile unaweza tubless tena. Maana kuna inglish figa flan amaizin...Weesi umesema unaenda kulala wee,![]()
Hebu chek chek coca
Hapana. Nasubiri Kama kuna vile unaweza tubless tena. Maana kuna inglish figa flan amaizin...Weesi umesema unaenda kulala wee,![]()
Khaaaaah,Hapana. Nasubiri Kama kuna vile unaweza tubless tena. Maana kuna inglish figa flan amaizin...
Hebu chek chek coca








Hatari na nusu😍😍
Ulalee mume wanguuu, kesho kazinii.Hatari na nusu![]()
Yanga ni miquissone
Rangi unayo
Nikose vigodoro mie tenaa? Kkoo n 55k tyuuh.
Nnavo viwili, nikiamuaga kuvaa nakobekaa afu sijari wala nn.
mbali wige, na beii siiwezi.
![]()
Duuh kuna sehemu nimetoka kusoma ni 750 mara hii imeshakuwa 1250 tatizo niniUnaenda town na mwendokasi? Pole sana, nauli 1250..magari hakuna!View attachment 2483056
miss you sis . Hamjambo ..... Weekend tamu sema fupiBantu Lady Tinsley sio kwa ubize wa weekend huooo ! Fanyeni mkuje nimewamisoo hatareeee
Walisharekebisha tatizo la jam?Unaenda town na mwendokasi? Pole sana, nauli 1250..magari hakuna!View attachment 2483056

Chuchuu SAA 12 jioni, ndo maana sioneshi.Rangi unayo
Mgongo hadi nyonga upo vizuri
Next time nione chuchu konzi
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app






Sehemu ambayo nauli zilikuwa 650 imepanda hadi 750Duuh kuna sehemu nimetoka kusoma ni 750 mara hii imeshakuwa 1250 tatizo nini
Halafu shida yao hawa nauli yao ni fixed haijalishi unashukia wapi
Bora wa daladala mtu anaweza hata akachonga na konda akasaidiwa tu
Watu hawana furaha kabisa, yaani watz hatuna furaha hata kidogo. Ni kulalamika tu kwa makosa ya serikali. Magari hakuna, nauli imepanda...watu ni wengi.Duuh kuna sehemu nimetoka kusoma ni 750 mara hii imeshakuwa 1250 tatizo nini
Halafu shida yao hawa nauli yao ni fixed haijalishi unashukia wapi
Bora wa daladala mtu anaweza hata akachonga na konda akasaidiwa tu
Walisharekebisha tatizo la jam?
Maana gari zilikuwa zinashindwa kuingia kwa wakati.
Daladala zilifunga njia kutokana na kukusanya ushuru hapo mbele pa Kutokea.
Ukitaka uone umuhimu wa mwendokasi,basi panda daladala na unaenda kivukoni au gerezani.
Foleni yake njiani mwenyewe utasurrender
Watu wanapanda mwendokasi si kama wanapenda,La hasha!.
Route ndefu mwendokasi ni nzuri kwa kuwahi.
Anyway,nilikuwa hapo nikaona uchebe nikafananisha na ulioselfika huku,kumbe ni wewe![]()


aaah wapi, huwezi niona niko invisible kidogo. Kwa mwendokasi kama wewe ni mfupi kama mimi unaweza kufwa wallah, hiyo suffocation sio ya kitoto. Usafiri mzuri, usimamizi mbovu kabisa.