cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,296
Afu cna habariiii yaan. Mzunguu c ndo huyu hapaaa.hahaha ndo mavazi yako eh na pensi hapo chini





Yaan nilitakiwa kuzaliwa mambeleee huko, huku Bongo bahati mbayaa tyuuh.
Afu cna habariiii yaan. Mzunguu c ndo huyu hapaaa.hahaha ndo mavazi yako eh na pensi hapo chini





Hii hapa kaliiii.Valentine's gifts, andaa mapema, ni 60,000= kama ilivyo na box lake. 55,000= bila boxView attachment 2483211View attachment 2483229View attachment 2483214View attachment 2483224View attachment 2483227View attachment 2483225View attachment 2483226View attachment 2483228View attachment 2483230View attachment 2483234View attachment 2483231View attachment 2483232View attachment 2483236
hapo bora kutowapa siti yani wewe usubirie halafu mtu na haraka zake aanze kutaka seat kweli . . Ubaya hauna kitambiHahaha...hapo kupisha Mtu panakera mwanzo WA gari Mtu anaona gari limejaa kabisa anapanda afu mwanzo miye pia sipishi,uwe na mtoto,mimba au vyovyote vile njiani Sawa ila mtu mzima TU ndo nampisha ,mimba starehe,mtoto starehe wapambane kivyao
Hello Mjukuu 🤗Helloowww babuu!!✌️!
Msamiliieee sana huyo prince the steling hapoo naona kakaa kama pozi la babu yake pozi la kiume😁😁!!
Anaonekana ni hendsamuuu ajeeee😍😍😍😍
Ngoja tutoke shambani nitakutumia umuone 🤗Hebuu tumuonee Jr.
Ngoja tutoke shambani nitakutumia umuone
Hope unaendelea vyema na Shule Mjukuu, Usome uje utusaidie huku Kijijini. Manake haikuwa kazi rahisi kuuza Ng'ombe zote zile kukusomesha![]()







yaan wee achaa tyuuh. Ushamaliza kulipa ada![]()
Ikitokea umepata Mchongo wa kazi hapo hapo kwa Mzee Makala utafanyaje?yaan wee achaa tyuuh.
Boraa nimalizeee niondokeeee, life la Dar limenichoshaaaa.
AsanteMashallah
Hivi Lenie ashamnunulia Depal ?Valentine's gifts, andaa mapema, ni 60,000= kama ilivyo na box lake. 55,000= bila boxView attachment 2483211View attachment 2483229View attachment 2483214View attachment 2483224View attachment 2483227View attachment 2483225View attachment 2483226View attachment 2483228View attachment 2483230View attachment 2483234View attachment 2483231View attachment 2483232View attachment 2483236
Karibu mrembo
Bado

Nakuambiaaaa dada, nataka nionjee kila Race, aiiiiiiiih


huzunii jamaniAwee dear huo mtaala wa Nov hauwezi kuwa wa shule hizi za ‘mwanafunzi akifungua ni lazima aje na ada’ Hapo mwalimu mkuu anaongea huku anapiga piga meza 😃😃Baby Ada huwa inalipwa Jan kwani? Ada inalipwa Nov mpenzi
Zako umetafuna zote? Hivi kwanini mnakula kucha? Mnaishiwaga kazi za kufanya? 😂😂Weuweeeeeeeee!!!!
Dee km Dee.
Nyie kuchaa mnanirushaa rohoooo. Wallah.
Nalima me ujueNooo usizitoe bado nzuri bana
Zinavutia mkononi🥰
Kazi ngumu kwanza utaziwezea wapi we slay queen wa kishua
Tunakuwa kama tuko Ulaya 🔥🔥Wew usintanie panakuwaje Sasa pakiwa pamepoa doohh
Nakuona unaimbishaIkitokea umepata Mchongo wa kazi hapo hapo kwa Mzee Makala utafanyaje?
Kwa jinsi tulivyokumisi Mjukuu, nimeona Mzee Mapunda amehaidi kujitolea Ng'ombe Mmoja tumchinje siku ya kukupokea![]()
Li zuriTunakuwa kama tuko Ulaya![]()
Ndio maana panaitwa Geneva of Africa.
Sema kuna nyakati panaboa
Baridi ikizidi
Huwezi tupia ka dress
Itakubidi uvae li skin ndio ulivalie na koti

Nilikatazwa + nimefichwa+ nikajifichaLi zuri
Ni ulifichwa
Ni ulikatazwa
Ama ilikuwaje
Mwezi na kidogo
Sijakutia selfika
Machoni
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app