Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Best yako anaanza kunirubuni upya

Best yako anaanza kunirubuni upya

Twakupenda pia mremboJamani muwe na mchana mwema na lunch njema...
Ngoja nitengeneze lunch hapa. Nawapenda sana![]()

Mpaka tukuombe jmnKaribuni sana chakula wapendwa.![]()
Shangaa naweweMbona gafla sana!
Nimemfumania, sasa kama anataka kurudi kwako jua utalia pia. MkataeShangaa nawewe
Khakhakhaaaa.....labda kwako kipenzi mie doctors hapana aise nawaona tu walivyo. Hao ma injia hapanaaa . Endelea kutoka nao
Mh hakuna watu kama wale yaani ukikaa nao story zao utatamani mkeo asiwe anaenda hospitalYa kuwa vividua wagonjwa.![]()
Ntakubondaaaa naweeKhakhakhaaaa.....
Una misimamo yako konki sana unanikoshajeeeeee!!!
Umeambiwa injiniazz madokta wamenyooka ndio ufanye mpango hivoooo Mimi wakulimaa wangu wananitosha kwakweli!








Tunaomba tupicha tumoja basiKhakhakhaaaa.....
Una misimamo yako konki sana unanikoshajeeeeee!!!
Umeambiwa injiniazz madokta wamenyooka ndio ufanye mpango hivoooo Mimi wakulimaa wangu wananitosha kwakweli!
Mnawasingiziaaaa hapaaa.Mh hakuna watu kama wale yaani ukikaa nao story zao utatamani mkeo asiwe anaenda hospital







just normal guy with a decent livingUnawatakaaa wepi wee?![]()
Khakhakhaaaa...na Valentina mmenikumbusha kituuu.. wanasema ukiwa na mitara bora uweke gap kati yao yani wasipendane kabisa... wanawake wakipatana wakaakuamuliaa Alooooooohh Jack Palladino best unalo😂😂😂😎Nimemfumania, sasa kama anataka kurudi kwako jua utalia pia. Mkatae
Wewe omba mungu ulimpata huyo maana wengine wanetu kabisaMnawasingiziaaaa hapaaa.
Ila wangu walikua smart sanaaa,
usilaze damuBest yako anaanza kunirubuni upya![]()
Best nikajua wewe ndio mtetezi wangu😩Khakhakhaaaa...na Valentina mmenikumbusha kituuu.. wanasema ukiwa na mitara bora uweke gap kati yao yani wasipendane kabisa... wanawake wakipatana wakaakuamuliaa Alooooooohh Jack Palladino best unalo😂😂😂😎
Mbona anawajua wakuryaHuendi kokote, ungeuliza kwanza kabla ya kuingia kwa Wakurya. Wigelekelo hebu muelezee vizuri huyu ndugu yako.
Usijareee kabisaaaa chagua niweke part gani 😎😎!Tunaomba tupicha tumoja basi
Ukiachwa achikaWigelekelo anafanya sherehe huko na mwenzie Glenn


Mkuu nimekubali kwa roho safi...Nipo single now!😊Ukiachwa achika
Uholanzi hiyo mwanawane
Kuwa mpole tu
Sent from my TECNO BD4h using