Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi mliishia wapi nayule mjeshi wako hendisamu???!
Nyumbani ni waelewa tu Mbona ndani hawanaga hizo fujo kabisa!
kuna siku ilikua likizo, wakat nipo 1St yr naelekea 2, sasa nlienda dukani, kumbe alinionaa, akanizibia njiani cna hili wala lile, nashangaa ghaflaaa nashkwa mkono kugeukaa ni yeye nilivyo choropokaaaaa

cjui alichekajeeeee yule kaka. Yaan nlitimua mbio km nimeonaa kitu chaa ajabu.

Mie ujanja wangu woteee kwa mjedaaa, naufyataaaa haswaaa.

Yulee sijawahi kumuonaaa tenaa eti.
 
Wee huyo usimtaje kabisa hataki, kuna kitu niliandika jana naona kilimchoma mkuki. Hataki huu utani tena.
Hapa hutoki, atakuja mume mwenzako utakuwepo. Mtakuwa wawili halafu wote ndugu.
MMh kwanza sijaona popote uliponiudhi.
Utani nauweza sana kuliko mtu yeyote humu ndani na niko peace sana na kila mtu hadi sasa.
But kila kitu kiwe na kiasi.

Utani ukizidi unaharibu.
Pia huwa wanasema; A good dancer knows when to leave the stage.

Ni hivyo tu Bantu Lady
 
Back
Top Bottom