Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
hahaha huyo ni balaa aisee .Sasa huyo Madam ni anawakung'utaje wabafunziiii wakikaa vibaya mateke makofi hapohapooo na mitusiiii juuu..tena matusi ya nguoniii kabisa utasikia matak ya babako na wabafunziiii wote wapooo muda mwingine na walimu wapo tunabaki kuziba midomo tu kwa aibu yee walaaa hana hata habari;!
sijui ni mkuria wa wapi huyo nyamongo au wapi ?
kha anatukanaje watoto hivyo



