Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwanamke mwenye pesaaa/ uwezo wake anaoa mwanamke mwingine kwa Lengo la kumzalia watoto! kama sihasahau lakini
Yes ni hivyo "Nyumba Ntobhu" nyumba bila mume...
Mmama mtu mzima mjane, ama ambaye hakuwahi fanikiwa kupata mtoto.
Anaoa binti analipa na mahari, but hakuna mauhusiano ya kimapenzi. Anamtafutia mume, wakizaa watoto ni wa Mama mtu mzima, anaendeleza ukoo.
 
Yes ni hivyo "Nyumba Ntobhu" nyumba bila mume...
Mmama mtu mzima mjane, ama ambaye hakuwahi fanikiwa kupata mtoto.
Anaoa binti analipa na mahari, but hakuna mauhusiano ya kimapenzi. Anamtafutia mume, wakizaa watoto ni wa Mama mtu mzima, anaendeleza ukoo.
Lol!! Hivi ile asili ya watu wakule inayosemekana majority ni wakatili husababishwa nanini???
 
mila za ajabu dah .. Binafsi sihitaji urithi wao nishajiandaa kwa kweli . Wanaume wa kule waonevu haswa .
That's genious kurya Babegirl!!
Kuna mwalimu mmoja ni wahuko mkewe pia ni wahuko ila mke hajasoma kabisa Alooooooohh!!! Ni anamnyanyasa mkewe hadi sio poa na elimu yake yote mmxxcieeeeeeeewww!

Kuna Siku alimkata eneo la lips asubuhi tunaamka tunaona mtu ana jeraha la panga Jamani jamani Jamani 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
 
Mwingine madam wahuko tupo nae kwa ofisi hapaa ni mbabe balaaaa atachosema/ kuamua yeye ataka hikohiko wote mkifuatee my foot akikutana na wababe wenzie wasiotaka kupelekeshwa sasa ugomvi/ malumbano/ mabishsno kila Siku ofisini mi nachekigi zangu muvi tuu !😁
 
mambo gani hayo dah
hakwenda hata kumshitaki dawati la jinsia huo ni uonevu .. Mungu aniepushe na watu wa kule dah
sijawahi hata kupigwa duh
That's genious kurya Babegirl!!
Kuna mwalimu mmoja ni wahuko mkewe pia ni wahuko ila mke hajasoma kabisa Alooooooohh!!! Ni anamnyanyasa mkewe hadi sio poa na elimu yake yote mmxxcieeeeeeeewww!

Kuna Siku alimkata eneo la lips asubuhi tunaamka tunaona mtu ana jeraha la panga Jamani jamani Jamani 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌!!
 
wasomi wana utofauti kidogo .. sema ipo damuni mama mjibu ovyo akuzibue makofi
Aiseeehhh...!! Nasikia huko ni kosa kubwa sana mwanamke kumuuliza mwanaume uko Wapi eti ni kama umemdharauuuu kupita maelezo 😁😁😁😁! Vitu vingine mbona watu wanakompliketi sana maisha sasa mtu akikuuliza upo Wapi ukamjibu unapungukiwa nini??? Ila sikuhizi Walai inapungua japo asili ni asili tu
 
Mwingine madam wahuko tupo nae kwa ofisi hapaa ni mbabe balaaaa atachosema/ kuamua yeye ataka hikohiko wote mkifuatee my foot akikutana na wababe wenzie wasiotaka kupelekeshwa sasa ugomvi/ malumbano/ mabishsno kila Siku ofisini mi nachekigi zangu muvi tuu !😁
jamani huyo mtata duh

mie toka mdogo nilikuwa sitaki watu wajue kabila langu .. nawaambia mie kabila la Baba wa taifa 😆😆😆
kabila gani sasa hili 😅
 
Aiseeehhh...!! Nasikia huko ni kosa kubwa sana mwanamke kumuuliza mwanaume uko Wapi eti ni kama umemdharauuuu kupita maelezo 😁😁😁😁! Vitu vingine mbona watu wanakompliketi sana maisha sasa mtu akikuuliza upo Wapi ukamjibu unapungukiwa nini??? Ila sikuhizi Walai inapungua japo asili ni asili tu
Hahha ipo huko Tarime sana .. bado hawaajaacha mila .. nilisikia siku ya harusi Bibi harusi unabebeshwa mizigo yote unaenda nayo kwa mumewe . . huku unasindikizwa na ukifika pale uwapikie wakwe bonge la ugali ule mwekundu dah .
 
Sasa huyo Madam ni anawakung'utaje wabafunziiii wakikaa vibaya mateke makofi hapohapooo na mitusiiii juuu..tena matusi ya nguoniii kabisa utasikia matak ya babako na wabafunziiii wote wapooo muda mwingine na walimu wapo tunabaki kuziba midomo tu kwa aibu yee walaaa hana hata habari;!
 
Back
Top Bottom