kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
Mpaka wa sasa teacher yaani ndio ubabe walishauzoeaWa miaka 47 hukoo labda sio hawa wa kisasa!
Mpaka wa sasa teacher yaani ndio ubabe walishauzoeaWa miaka 47 hukoo labda sio hawa wa kisasa!
Ndiomana baadhi yao bado wapo hivo!!Mpaka wa sasa teacher yaani ndio ubabe walishauzoea
Wewe wakuria watata ujue sio wanaume sio wanawakeHuyo angekutanaa na kichaaa km miee ningemfurahishaaaaa.
wallah.
Wige nae kashikwa sijui wapi huko
Nahii hali ya hewaaaa ukute anakakamaaa tu huko saiii 😁😁😁😁!!Wige nae kashikwa sijui wapi huko
Ila ukifika muda utabadili mtazamoSio pigo zanguuu hizoo, akatafute wa type yake.![]()
Yaani ukika ule mkoa inatakiwa uwe ngangari haswaNdiomana baadhi yao bado wapo hivo!!
Hata mie mtata sanaa tyuuh.Wewe wakuria watata ujue sio wanaume sio wanawake






Official code zina sehemu na events zake, sasa mwingne mda woteee khaaaah.Ila ukifika muda utabadili mtazamo
Kwakweli!Yaani ukika ule mkoa inatakiwa uwe ngangari haswa
Shida za wale watu wa kule wanatakaaga kuleta ubabe kila mahaliHata mie mtata sanaa tyuuh.
Nlikua naona dada 1 alikua ana date na mtu wa huko, yaan alivyokua ana mpelekeshaa, nkajisemeaa amemkutaa zobaa akutanee na mwendawazimu km mie, ningemfurahishaa haswaaa.
Anajitoa ufahamu tu ngoja muda ufike akili imkae sawa!Ila ukifika muda utabadili mtazamo
Rudi tu kwa mtu wako, nimekuachia tumeshaachana... Jack PalladinoHebu nitafutie msukuma mwenzio maana Bantu Lady kashaninyang'anya tonge mdomoni
Leo somo limeingia eeh😅Haswaaaaaaah!!!
Finally nimeachwa😩😩😩Rudi tu kwa mtu wako, nimekuachia tumeshaachana... Jack Palladino
Hapa niko kumbembemeza babu Shimba ya Buyenze anipe mdogo wake Msukuma.
Valentina Usiniharibie ukaniibia Msukuma mpya...
Ukienda vijijini wanawake wa kule wanangeu za mapanga kama waizi ukiuliza unaambiwa ni mme wake kafanya hayo mamboKwakweli!
dah,irudiwe
Bado bado tumpe miaka 3Anajitoa ufahamu tu ngoja muda ufike akili imkae sawa!

Love usiseme watu wa huko ni unique, wakigombana hakuna polisi alikuwa akiingilia. Kuna maugomvi ya koo miaka na miaka.Hata mie mtata sanaa tyuuh.
Nlikua naona dada 1 alikua ana date na mtu wa huko, yaan alivyokua ana mpelekeshaa, nkajisemeaa amemkutaa zobaa akutanee na mwendawazimu km mie, ningemfurahishaa haswaaa.