cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Jeans, snickers na t shirt,, c ndo pigo zako hzoPigo za hvo hapanaaa.![]()
Hapanaa sio kihivoJeans, snickers na t shirt,, c ndo pigo zako hzo





Ndugu yangu hapa unatengeneza nn mkuu
Ndio unatangaza sioUna habari niliachwa?
Mtakuja kufiana lojiNanii??? Mzeiya wa Pepper Blog mchochezi Wigelekelo ama???
Ndio utulieIla nikagundua, wewe ni maji marefu,unaweza kumpa mtu pressure, sie wazee wenye inferiority zetu hatupaswi kabisa kukunong'oneza
![]()
Sasa utanilinganisha na nyie vitoto vya jana, sophy27 nishamuweka sawa, naenda Tanga kupeleka barca ya posa🤣🤣🤣Ndio unatangaza sio
Huyo ana nini cha mno ambacho sophy27 hana
Tamaa tu
Eti mzee hivi una uzee gani wewe
Mizee ipo siasani huko
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Weka hapa hapaHizi rika best zinataka mwanaume awe Romantic, ukioata mida nikuoe somo la kuwa Romantic![]()
Miezi mitatu CongoHalafu vijana wanasema hakuna Ke wa kuoa, vijana wanakwama wapi hata suwaelewi!!
Mkuu tunaweza kuheshimiana kidogo katika hili?
Wewe unatakiwa uwe na mke Dar, Mbeya na Congo...mke mmoja hakutoshiMiezi mitatu Congo
Atakuwa mke au mke wetu
Oeni nyie mnaopanda mwendokasi daily
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app