Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,791
Darlin wangu miss you
Una uhakika huyo ni wako
Darlin wangu miss you
Ndyoooooooooooh!!!!! Ongezaaa sautiiiii.
duh inasikitisha , yaani wapo wanakungonga tu ..Bora kwenye ndoa,
Na wakwe wengine wanajua kabisa mtoto wao hakuoi lkn wanakutumikisha mpaka ukome.
Huu ujinga sijui wanawake tumerogwa?


Japo inachomaaaaNdyoooooooooooh!!!!! Ongezaaa sautiiiii.

sijawahi kumpikia mwanaume kwake .Ulienda kumpikia [mention]Poker [/mention]![]()
Sana,umakini,msimamo muhimuduh inasikitisha , yaani wapo wanakungonga tu ..
Mungu atupe hekima ya kushtuka mapema dah
Hatari aiseeSana,umakini,msimamo muhimu
Ndo inakua hvyooooo.Japo inachomaaaa![]()
sijawahi kumpikia mwanaume kwake .
ndo nakaribia hivi![]()

😅Unadanganya kwahyo ww na [mention]Poker [/mention] mnakula wapi![]()
nakula migahawani
kupika kwa hamu
nikahisi umeacha utukutu 😅😅😅 .Aiseee kwahyo huwa mnalala huko huko lodge mkimaliza kula mgahawani Shem
Kileleni utakuwa umefika?moja tu hilo linatosha
![]()
Kumbe mzabzab umesoma?You couldnt have said it better.
Basi njoo tufanye missionary mrembo![]()
l meant swali moja
Eti Babu yenuHahaha.................nilikuwa nawaonesha last born wangu nyie msio amini Umri wa Babu yenu hapa![]()
ana ngeli nzuri sanaKumbe mzabzab umesoma?
Umeandika kizungu kimenyooka walahi
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app