Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
hahaha kucha za mahaba ndo zikoje dahNaam mtoto una nawili mtoto mweupe rangi tamu ya strawberryuna kucha nzuri za kimahaba
hahaha kucha za mahaba ndo zikoje dahNaam mtoto una nawili mtoto mweupe rangi tamu ya strawberryuna kucha nzuri za kimahaba
Mjukuu bana kha!
Siku na wewe ukifa halafu watu wakafurahi usikasirike!![]()






rijaliii kafaa babuuuu, hiyo yote kuoneshaa yeye n mwanaume haswaaaa. 








hahaha kucha za mahaba ndo zikoje dah
Hiyo avatar ni yako?🙄rijaliii kafaa babuuuu, hiyo yote kuoneshaa yeye n mwanaume haswaaaa.
Nimewachachuaa huko kwa group, watu wamepovukwaaa hasa wanaumee wamenitukanaa matusi yotee,. Nimewajibu kwa kifupi.
"Mkamzike rijali mwenzenu huko na mtakufaa sanaa badoo"
Wadada wanachekaaa hatareeee.![]()
Hebu kaskirinishoti matusi angalau mawili uje uyarushe hapa niamini. Una kamba sana sometimes na wewerijaliii kafaa babuuuu, hiyo yote kuoneshaa yeye n mwanaume haswaaaa.
Nimewachachuaa huko kwa group, watu wamepovukwaaa hasa wanaumee wamenitukanaa matusi yotee,. Nimewajibu kwa kifupi.
"Mkamzike rijali mwenzenu huko na mtakufaa sanaa badoo"
Wadada wanachekaaa hatareeee.![]()



hahaha wewe na poker mnafanana haha.. Nipigie baba yolly nimemiss kucheka mieMuulize Kipenz cha roho yako [mention]Poker [/mention] atakwambia
Ulifanya vyemaMAKAVU LIVE
Huyo ni kijana,nilishamkataaga kuniita mjukuu
Babu ni SYB tu hapa.
Tinshapana
Uachwe mara ngapi?Nikiachwa nitaficha wapi sura yangu mkuu?
Hutoboi haki ya naniKwahiyo vijana mmekuja na style hii sio?![]()
Dogo nimekuachia jimbo unaanza kuhangaika tena?Hiyo avatar ni yako?🙄
uwanja wenu vijana!Hutoboi haki ya nani
Ni zengwe mwanzo mwisho
Isitoshe
Valentina anakuita huko
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Huyu dogo wangu hana shida!😅Dogo nimekuachia jimbo unaanza kuhangaika tena?
Wewe ndiye mwenye wenge dogoHuyu dogo wangu hana shida!😅
Mkuu yule best yangu tu!😅Uachwe mara ngapi?
Halafu nakuona unajibebisha kwa mahondaw
Mke wa mjeda
Mkuu mtu chake
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
hahaha noma aiseeTins
Kuna mafisi humu
Huo mkono tu lazima
Yaupigie puchu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Asante mjukuu wangu jamani...MAKAVU LIVE
Huyo ni kijana,nilishamkataaga kuniita mjukuu
Babu ni SYB tu hapa.
Nipo kamanda. Nasubiria mikutano ya kisiasa kwa hamu hasa siku dogo janja Tundu atakapokiwasha laivu jukwaani na Lema + Wenje huku Heche, Jongwe na Dijei mtoto wa kijijini wakiwepo. Patachimbika kishenzi yaani!Bro Shimba ya Buyenze natambua uwepo wako mkuu sana![]()


Tena ulivyokaa ni kama vile unataka kushika maikrofoni dah!Tins
Kuna mafisi humu
Huo mkono tu lazima
Yaupigie puchu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app



