Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mjukuu bana kha!

Siku na wewe ukifa halafu watu wakafurahi usikasirike!
rijaliii kafaa babuuuu, hiyo yote kuoneshaa yeye n mwanaume haswaaaa.

Nimewachachuaa huko kwa group, watu wamepovukwaaa hasa wanaumee wamenitukanaa matusi yotee,. Nimewajibu kwa kifupi.
"Mkamzike rijali mwenzenu huko na mtakufaa sanaa badoo"

Wadada wanachekaaa hatareeee.
 
rijaliii kafaa babuuuu, hiyo yote kuoneshaa yeye n mwanaume haswaaaa.

Nimewachachuaa huko kwa group, watu wamepovukwaaa hasa wanaumee wamenitukanaa matusi yotee,. Nimewajibu kwa kifupi.
"Mkamzike rijali mwenzenu huko na mtakufaa sanaa badoo"

Wadada wanachekaaa hatareeee.
Hebu kaskirinishoti matusi angalau mawili uje uyarushe hapa niamini. Una kamba sana sometimes na wewe

Ila jamaa kafa kiboya sana. Kujiua sababu ya demu dah!
 
Bro Shimba ya Buyenze natambua uwepo wako mkuu sana
Nipo kamanda. Nasubiria mikutano ya kisiasa kwa hamu hasa siku dogo janja Tundu atakapokiwasha laivu jukwaani na Lema + Wenje huku Heche, Jongwe na Dijei mtoto wa kijijini wakiwepo. Patachimbika kishenzi yaani!

Happy New Year braza
Screenshot_20230108-160624_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom