sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Unakumbuka tuu enzi zile umekaaa pale k.koo madukani watu wanapita na gari na watoto wakali.Sikuhizi nakujaga pale getini magu host na park nachukua zangu namba mbili tatu; mshaleee.
Najisemea nilikuwa nawala kwa macho tu enzi zile napiga chato pori to mabibo;
Nakumbuka kuna Mwamba alimuona dem wake kabebwa kwenye gari pale kwenye zile halls za karibu na yombo 1&2.
Ilikuwa ijumaaa. Dem akazima simu Mwamba akanywa sumu aliponea kairuki hospital.
