Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
lol kumbe wewe ni derevaHahaha ntakuwa napiga horniii nyingi;;
lol kumbe wewe ni derevaHahaha ntakuwa napiga horniii nyingi;;
Hahaha siunajua sisi hatuzeeki Kama kina jigga tu umri umesonga ila bado chipukizituone picha ya uzee
Huonekani umeenda age sana
Yeah naelewa kabisaHahaha siunajua sisi hatuzeeki Kama kina jigga tu umri umesonga ila bado chipukizi
Hahaha sifa za kazi hizi lazima ujuwe kucheza kote kote; konda akizingua unakaa mlangoni dreva naye akizingua unamwambia aya tembealol kumbe wewe ni dereva
vizuri sana aiseeHahaha sifa za kazi hizi lazima ujuwe kucheza kote kote; konda akizingua unakaa mlangoni dreva naye akizingua unamwambia aya tembea
Hahaha Mbona young kiana ana.Yeah naelewa kabisa
bado mnakuwa young kiaina .
Sijawahi kuwa nao mie.Acha umama
Aaaah raha hizo na utamu huo hapanaaa.Unakosa Raha za dunia na utamu





Kuna siku mwenge nimekutana na jamaa Yangu mi Niko napiga zangu kelele ananiambia kapachino vipi shida nini? Nikamwambia tulia bwege wewe; Niko harakati unaniambia shida ninivizuri sana aisee
unakuwa multi purpose
rafiki wapi 😆😆sijamkanaa babee, ni rafiki angu eti
mmmh ila weweKuna siku mwenge nimekutana na jamaa Yangu mi Niko napiga zangu kelele ananiambia kapachino vipi shida nini? Nikamwambia tulia bwege wewe; Niko harakati unaniambia shida nini
Lol 😆😆sijawahi zama mazima eti.
Huwa tunaita kufa kufaana;mmmh ila wewe
ibada itakuwa imeisha huko .. usharudisha vichwa
jioni mnaringa hapo Kawe siku ile nimejuta kwa nn sijaenda Morroco .. magari yanaishia nyuki au upande bajaji .