Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

vizuri sana aisee
unakuwa multi purpose
Kuna siku mwenge nimekutana na jamaa Yangu mi Niko napiga zangu kelele ananiambia kapachino vipi shida nini? Nikamwambia tulia bwege wewe; Niko harakati unaniambia shida nini
 
Kuna siku mwenge nimekutana na jamaa Yangu mi Niko napiga zangu kelele ananiambia kapachino vipi shida nini? Nikamwambia tulia bwege wewe; Niko harakati unaniambia shida nini
mmmh ila wewe
ibada itakuwa imeisha huko .. usharudisha vichwa

jioni mnaringa hapo Kawe siku ile nimejuta kwa nn sijaenda Morroco .. magari yanaishia nyuki au upande bajaji .
 
Hahaha unataka kunirudisha kwenye mikato Yangu ya zamani




emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
sasa je?
 
mmmh ila wewe
ibada itakuwa imeisha huko .. usharudisha vichwa

jioni mnaringa hapo Kawe siku ile nimejuta kwa nn sijaenda Morroco .. magari yanaishia nyuki au upande bajaji .
Huwa tunaita kufa kufaana;
Uwe unanipigia simu Sasa usiwe unafeli jirani;
 
Back
Top Bottom