Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

wewe kila route umo .. uliniambia upo mbezi - makumbusho .
Hahaha nyuki_ simu 2000
Mbezi asubuhi tunaiba;
Na jumapili Kama hizi huwa hazina shida.

Mi mpaka matembele ya pili kwa nabii suguye uko nawapelekaga siku Kama izi
 
Hahaha nyuki_ simu 2000
Mbezi asubuhi tunaiba;
Na jumapili Kama hizi huwa hazina shida.

Mi mpaka matembele ya pili kwa nabii suguye uko nawapelekaga siku Kama izi
Aisee mnapata tu hela
ila dereva wewe .. unaendesha saa ngapi sasa .
 
IMG_3155.png

 
njia za porini ndo wapi ??
hahha huko ndo kwetu
Nimesoma Pugu mie
Ohoo ok
Nilikuwa nikifika zangu mboto usiku ile mida ya saa nne; nnauma mzigo wa abiria kwenda chanika sijawahi upakia mpaka leo.

Nyie wa town mnabagua Sana gari! Mnataka mmpande visu aka umeme.
 
Ohoo ok
Nilikuwa nikifika zangu mboto usiku ile mida ya saa nne; nnauma mzigo wa abiria kwenda chanika sijawahi upakia mpaka leo.

Nyie wa town mnabagua Sana gari! Mnataka mmpande visu aka umeme.
ookay sawa

hahha plate number C sipandi .. hayo ma DCM hadi niwe na haraka ndo napanda .
 
Back
Top Bottom