kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
Hamna kulala mpaka debe la mwaka mpya lilieIiiigggweeeeeeeeeeeeeeee!
Leo full ma selfii kwakwenda mbereeeee!!
Wabheja sana hakika mwaka unaenda kuwa mzureee sana kwa wana selfika!!![]()
Hamna kulala mpaka debe la mwaka mpya lilieIiiigggweeeeeeeeeeeeeeee!
Leo full ma selfii kwakwenda mbereeeee!!
Wabheja sana hakika mwaka unaenda kuwa mzureee sana kwa wana selfika!!![]()
Tupieni vitru sasaa mnaniangushaaaa!! Wigelekelo Valentina Alayna nawengine baraka zenu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Hamna kulala mpaka debe la mwaka mpya lilie
Wembambaa lakini, huyo bonge huoni nawee.Wewe si unapenda mabishooo wavaa vipensi!!





Mimi ni babu kizeee. Hujui??Mungu ni mwema tutauonaaa soteee !!
Kukaa na mavitu moyoni Utrazeeka mapema kijana mdogo upate mi presha buree
Stress tupa kuleeerrr![]()
Sijakutww na chochote kipenzi changu ni katika hali ya kibinadamu tunapishana kauli kidogo





oooh bas sawaa kipenziiii. Ninaimani kaka mkubwa atakuwa ameelewa.yameisha.tunaanza mwaka mpya vizuri kabisa
Mbona anaonekana mwembamba au mie sijaona vizureee lol!! Naona Selfika mmebarekewaaa sio kidogo mpo na watru wakareee sana humuu!!
Thubutuuuu!! Pita naked tuonee 😁!!Mimi ni babu kizeee. Hujui??
Ndyooooooh Mr uchebeeee.Mwaka 2023 ukawe ni wenye baraka tele kwa wanajumuia wote humuView attachment 2464788






Yah inaruhusiwa, weka kwenye hotpot inafika vizuri kabisa.Basi ntaichemsha kabisa....si naruhusiwa kubeba kama niki-declare ??
Muda mpaka nimesahau kama nilikula.View attachment 2464715
Ahsanteeeeeeeeeeeeh shougaaaaaaah,Nami napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wanaselfika wote kwa kuwa pamoja since day one hapa selfika!
Mmekuwa si tu ndugu jamaa bali rafiki wa karibu sana kwangu na kushirikiana katika mambo mengi sana hapa! Nilifurahii sana kuona tumefurahi tukacheka kushauriana na kujaliana hali kwa namna moja ama nyingine as selfika family mbarikiwe sana!
Sote ni binadamu Hakuna mkamilifu so popote tulipokwazana au kutofautiana kwa namna moja ama nyingine tusameheane bure bila kujali nilikukosea au ulinikosea! Hakuna sababu ya kukaa na vinyongo wala kuchukiana wapendwa binafsi sina kinyongo moyo mweupe kabisa kwa yeyote tulietofautiana kwa mazingira mbali mbali hapa!
Yaliyopita si ndwele wapendwa tugange yajayo!
As selfika family Inapendeza sana tukikaa pamoja kwa umoja tukifurahi pamoja!
Nawatakia kheri ya mwaka mpya 2023 ukawe mwaka wa baraka furaha amani mafanikio afya na uzima telee wapendwa na Mungu awabariki!!
Special Thanks to you all guys!!
Kisses![]()





Yan wewe picha uwa upo makini sehemu hizo tu🤣🤣🤣
Mbona anaonekana mwembamba au mie sijaona vizureee lol!! Naona Selfika mmebarekewaaa sio kidogo mpo na watru wakareee sana humuu!!







kwendraaaaaah hukoooo. Ndyoooooh nipoo makinii hapooo tyuuh.Yan wewe picha uwa upo makini sehemu hizo tu![]()







Aminaaaaaaaaaaaaaaa kubwaaaa 😘😘😘😘😘😘😘!
Ndio mie huyu huyu jana na leo
Unajuaje kama kibamia? Jinga sana wewe🤣
Kweli mi menuona mwembamba eti !! Fanya kutupia vitu vyakoo matraaatraaaaa sanaaaa vilee kitrambo sana sijavionaa
@Valentina anitumie Mimi DM basi. Asitume hapaTupieni vitru sasaa mnaniangushaaaa!! Wigelekelo Valentina Alayna nawengine baraka zenu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!