Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,223
Ngoja nichungulie kwa gallery hapa chap!!
Amina amina mkuuu kitrambo sana selfii yako!!
Tunasubiria hapaa 🙇
Ngoja nichungulie kwa gallery hapa chap!!
Ikawe heri kwako blazaWakuu wangu,
Mkawe na 2023 ile yenyewe kabisa, mafanikio katika kila mnachofanya kwa wema,
afya njema kabisa,
wenye kutaka wake mkapate,
wenye wahitaji wa waume mkapate, wenye kuhitaji watoto mkapate,
sisi tunaotaka pesa tuzidi kuzipata.
Zaidi sana, tuzidi kuhusiana kwa upendo. Niliyemkosea basi aniwie radhi sana voz mimi hata sio mgomvi
Love you wote "wana-mapichapicha"
Una uhakika?Ila wewe sijakukosea dogo, connection ni swala la muda tu, ngoja tubinue mwaka kwanza mkuu. Pela niachie, ile ni mali halali kwa ajili yangu.
Matani yakizidi hukeraKwahiyo wao panya wewe paka si ndiosafi
Wige kiukweli haipendezi kumtaja mtu bila sababu ya uhakika si Kwa sababu yangu…hapana ni Kwa sababu yao na wanaowazunguka hapa Jf..ninaimani kiutuuzima umeelewa.
Kuna watu wana wake humu na ninahamiana nao nje ya jf na tunawasiliana nao nje ya hapa so ikitokea umeandika kitu ambacho hauna uhakika nacho..huleta ukakasi nje ya jf.
Naimani wewe ni kaka mkubwa utanielewa kiutuuzima.
Nikutakie mwaka mpya mwema wenye mafanikio ndugu yangu![]()
My cocastic kama coca 💋💋💋😘😘😘 thanks
Uhakika kuhusu nini Wige🤣🤣
Amina amina Anne,Ikawe heri kwako blaza
Huna baya
Tuliokoseana mwaka huu, nawaambia picha mbichi hii.
Mwakani tunaendelea tulipoishia.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😎😎🤔Hello Last day of the Year 💋View attachment 2464334
Safi mzee wa viwanja!
MkeshaUhakika kuhusu nini Wige
Mkuu fanya chap uende mkesha, heri ya mwaka mpya kwako na unaowapenda.

@Antonnia anasema toa imoji hiyoMwaka 2023 ukawe ni wenye baraka tele kwa wanajumuia wote humuView attachment 2464788
Mimi babu yake eti@Antonnia anasema toa imoji hiyo
Happy New Year 2023 too... though tunahesabu masaa sumbai 😄😄😄😄Happy new year Bantu lady
Kwamba wenye vikalio vidogo tuko hatarini
