Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Pole Sana! Uwe unatumia Goolge map inasaidia Sana;Kinzudi huko aisee
nimekoma huko
Sie tulie kuulia uswahilini huwa ni ngumu Sana kupotea; Yani hatuna uwoga wa kutokea hata sebleni kwa mtu.
Pole Sana! Uwe unatumia Goolge map inasaidia Sana;Kinzudi huko aisee
nimekoma huko
Lakini kuna watu ujumbe wameupata
UnasemaMjini hapa kuna vya watu
Hako kamoyo kako kasikopitwa
Utakuja kufa kizembe
Hela huna hivi unadhani wa kuingia loji huyu?
Kaa kwa utulivu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Thank you kipenzi.. 😘😘im happy for you
mambo hayo
Mungu ni mwema ...
Mtu niliyenda kwake hajuiPole Sana! Uwe unatumia Goolge map inasaidia Sana;
Sie tulie kuulia uswahilini huwa ni ngumu Sana kupotea; Yani hatuna uwoga wa kutokea hata sebleni kwa mtu.
Naona unakanywesha Viagra na kukapakaza mkongo dustWezi sioo kabisaaa!!!
Nishaongea na sweetdaddie akee auuuweeeeeehhh Jmos naenda shopping miyeeee!! Watruu na vibabu vyeeiiiituuuuu wwweeeeuuuweeehhh!!!!!!!
hongera dear umepata mume mwema .. uzidi kumpenda , kumtii na kumuombea hivyo .Thank you kipenzi.. 😘😘
Kuna wanaume ni waelewa hadi raha nakwambia!!
Hawanaga mbambambaa maswali wala maelezooo mengi wala neneeeee !!
I'm happy for him and blessed to have him dear Mungu ambariki kila kitu chake kazini nyumbani barabarani uzao wake nahata vitukuu na vijukuu vyake mamyy!! He's one in a million!!!
Mjini hapa kuna vya watu
Hako kamoyo kako kasikopitwa
Utakuja kufa kizembe
Hela huna hivi unadhani wa kuingia loji huyu?
Kaa kwa utulivu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app










wanaume waelewa hivyo ni wachache sana .Thank you kipenzi.. 😘😘
Kuna wanaume ni waelewa hadi raha nakwambia!!
Hawanaga mbambambaa maswali wala maelezooo mengi wala neneeeee !!
I'm happy for him and blessed to have him dear Mungu ambariki kila kitu chake kazini nyumbani barabarani uzao wake nahata vitukuu na vijukuu vyake mamyy!! He's one in a million!!!
Sema kweliMguu unasadifu yaliyomo yamo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!Naona unakanywesha Viagra na kukapakaza mkongo dust
Hako kazee Ili kakumwage maji
Ili mambo yako yaende katakuja kukufia kifuani
Halafu uanzishe siredi ya kulialia hapa
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Sasa mwana ajipange kwa wapi
Amen dear!! Upuuzi upuuzi wangu niuache kabisa sitaki kumkosea wala kumkosa kiukweli!!!!hongera dear umepata mume mwema .. uzidi kumpenda , kumtii na kumuombea hivyo .
what a loving man ....
nawaombea kila la kheri ...
Mungu hajawahi kukosea kakae😊Wife material
Ujue dadaake Mungu fundi
Kama pm Iko wazi muda huu itakuwa loaded
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
AmenAmen dear!! Upuuzi upuuzi wangu niuache kabisa sitaki kumkosea kiukweli!!!!
Alikuwa na nia ya kukutoa vigimbi si bureMtu niliyenda kwake hajui
kuelekeza ..nimezunguka eneo hilo hilo tu .
kumbe ni karibu sio hata mbali .
nimepanda kilima cha salasala leo 😅
nimefika namatafuta simpati aisee watu wananiambia niendelee kwenda . nikatafuta sehemu kwanza nipoozee koo hadi alivyonitafuta tena .Alikuwa na nia ya kukutoa vigimbi si bure
Kumbe mbususu mnatoaga nusunusu?wanaume waelewa hivyo ni wachache sana .
mshikilie hivyo hivyo na umpe yote .