Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,561
- 23,991
Tena Za miaka 47 hukooo zile Black and White!! !Tuone picha ukiwa na shera umevaa hujaolewa ww mxieeew
Namie nilichagua hilo la pilii shoss kaona hilo la chini eti!!umeshachagua
naaona ya pili nzuri inawaaka kidogo
Humu kuna vituko sana dear!duh kuna mambo humu
Tena Za miaka 47 hukooo zile Black and White!! !
Basi ssaaaauuuwaaaa babuu ila angalia jioni hii shambani pekeako sio salama bibi watoto ndugu na wajukuu zako bado twakuhitaji sana babu furahia kilimo chema na uwe na Jioni njema babu etu!✌️Hivyo vikoti huwa tunavaa tukiwa shambani Mjukuu 🙈
Kwasasa naelekea shambani Mjukuu, si unajua Mama ametoa Ruzuku kwenye mbolea. Ndiyo nawahi hivyo shamba🤪
Basi ssaaaauuuwaaaa babuu ila angalia jioni hii shambani pekeako sio salama bibi watoto ndugu na wajukuu zako bado twakuhitaji sana babu furahia kilimo chema na uwe na Jioni njema babu etu!![]()
Aunt unagombaniwa na husemi😂😂😂Nkamu mimi sihusiki kabisa hapa🤣
Nadhani litakua lisukuma limoja linaitwa Wigelekelo ndo linalogombaniwa hapa🏃
Aunt unagombaniwa na husemi![]()
Naona Kuna uelekeo wa kupigwa humu 😂😂😂ngoja nitafute mwingineKwan mmeachana
Naona Kuna uelekeo wa kupigwa humungoja nitafute mwingine
Huyu tumia vaa condom 4
condom ni dhambiHuyu tumia vaa condom 4
Sawa Mjukuu 🤗Babu tutakua tunakuja basi mara nyingi nyingi
Asante babu basi nisubiri hapo usiniache
Asante kujali Mjukuu 🤗Basi ssaaaauuuwaaaa babuu ila angalia jioni hii shambani pekeako sio salama bibi watoto ndugu na wajukuu zako bado twakuhitaji sana babu furahia kilimo chema na uwe na Jioni njema babu etu!✌️
condom ni dhambi
Nawewe una mashaka na Umri wa Babu?Unamuita mjukuu ila ww babu wa mchongo![]()
Nawewe una mashaka na Umri wa Babu?
Ningebahatika kupata Cheti Cha kuzaliwa kama Nyie ningewaonesha hapa, ni vile tumezaliwa enzi za Ukoloni





tu ww