Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,254
Tumepigwahuenda kuna wanaye mtaka, wakaona wamuweke na marehemu ili kupindisha nisipatee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumepigwahuenda kuna wanaye mtaka, wakaona wamuweke na marehemu ili kupindisha nisipatee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumepigwa




hapanaaa bhanaa,. Wapiga kura ndo mnaamua nani ashindee. Na umekaa mbela kabisa kwenye dala dalaNimekuja Makumbusho kuonja bisi
Maisha ndio hayahayaView attachment 2456622View attachment 2456623
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Pambano limechanganya marehemu na walio hai.
Kabisa huwa sipendi usumbufuNa umekaa mbela kabisa kwenye dala dala
Pitia ghettoNdiyo.Natafuta sehemu nyingine wanayoonjesha vitu nikaonje vingine![]()
Nimekuacha na wajukuu zakoMbona una wasiwasi na Mimi Mkuu?
Babu yao hapa unajua Umri umenitupa mkono, kwahiyo usiwe na hofu na masikhara ya Babu na Mjukuu
All is well here and there![]()
Kwakweli mwenyewe sijamwona huku, huenda Mjeda amemkeep busy.Nimekuacha na wajukuu zako
Halafu Antonnia sijamuona Leo
Umemficha wapi
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Posa?Kwakweli mwenyewe sijamwona huku, huenda Mjeda amemkeep busy.
Hivi ulisema unataka kumtolea posa huyu au yule wa Mjini?![]()
Poa muhimu ili uwe huru kuja kumwomba nyumbani akakusaidie kutandika kitanda 🤗
Asante japo bado hapajakamilika 🥴Pazuri hapoo
Nipe namba ya bodaboda wako nimpatie 😁Naomba kalamu moja
Bi dada upo?Nipe namba ya bodaboda wako nimpatie 😁
Thanks dogo
Nipo nasubiria unialike sikukuu 🙂Bi dada upo?
Sawa BabuChagua mwenyewe, ila najua njia ya Basi ni nzuri zaidi.
Nampa Kondakta, gari ikifika na mzigo umefika 🤗
Nani aunt 😂haya ma snow yao wayazime basi.. anendeleje lakini 😁😁😁