Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Babu Grahams nimeitwa na Wigelekelo nije nione unachotuma..
Eniwei…hicho unachomtumia sophy27 usinisahau mjukuu wako.chagua…njia hii au ile.Kesho sikukuu babu na hapa niliposijielewi ujue.

Nyie wafanyakazi angalau mko na uhakika

Fanya mjukuu wako nifurahie sikukuu babu
Hahaha............... Huyo sophy27 alikuwa anaomba kitabu nilichoposti Jana Mjukuu na sio hiko kingine 🤗

Achana na huyo Wigelekelo anayenizushia kuwa Mimi ni mfanyakazi, Babu yenu hapa ni Mkulima kama Wakulima wengine tu na huu msimu wa sikukuu tupo zetu shambani tunaandaa mbegu kwaajili ya kupanda 🤪

Na Kuhusu Christmas, karibu Sana huku Kijijini kwetu. Mimi na Bibi yenu tunawakaribisha Sana🤗

Kutakuwa na nyama choma za Kuku, Mbuzi na Samaki 😋😋
 
Nimekuja Makumbusho kuonja bisi
Maisha ndio hayahayaView attachment 2456622
IMG_20221224_141118_949.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom