Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
NimeonaIna sisimizi tu
Asubuhi Lenie alimwaga chai na hakudeki
Yaani ni mchele mchele tu
Utadhani Kuna antenna za manzese
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
NimeonaIna sisimizi tu
Asubuhi Lenie alimwaga chai na hakudeki
Hivi umemuacha kweliNaenda nje
Nipigie
Zamu yako sahivi
Kwanza nitakublock, staki stress za janwari mie wakati hapo nimepauka😂😂😂😂 aki nikiendaaaaaaa
Nitapost mwezi mzima
Na mwezi ukiisha ndo nikumbuke nakochomea nyama ni wapi, nianze kulia
999Hivi umemuacha kweli
Kwa sababu ya wigi?
Kukuripoti ni 999 au 911?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Leta hela niweke vochaNaenda nje
Nipigie
Zamu yako sahivi
Kaniacha eti live liveHivi umemuacha kweli
Kwa sababu ya wigi?
Kukuripoti ni 999 au 911?
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂😂😂Kwanza nitakublock, staki stress za janwari mie wakati hapo nimepauka
🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
Kuniblock huweziii
Toa locationNaona mnapiga porojo tu,sioni ratiba yoyote ya BATA ,vp mko hovyo au ?
Hata nikii Cc999
911 haitoita
Nimemuacha
Anavaaje mawigi sasa?
pweza resort,njoo tuanze week end ndefuToa location
Unazunguka tu kama pia
Totoz zipo za kumwaga
Sema usikike
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Ndio breakfast yetu watu tuliokulia Kijijini.Haha! Umekumbuka wapi mkuu. Ushawi piga iyo mixture. Shamba ndo maisha yetu hayo.
kipenzi ahsante,hapo unashiba ?.kula hapa tena ni mpaka kesho.karibun wote.kipenzi mtu chake karibuView attachment 2455889
Hata kwa mtutu hunilishiiiii lol!!
Sasa kigugumizi Cha Ninipweza resort,njoo tuanze week end ndefu
Ukifika Dar next week nitafute Bosi Ledi nikupeleke chimbo moja huku Sinza wanakopatikana. Ni watamu hatari! 😁😁🖐Hata kwa mtutu hunilishiiiii lol!!
Anashiba Nini Sasakipenzi ahsante,hapo unashiba ?