Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Au tumcheki bosi Depal atupe mwongozo.Mimi hadi wakati huu ramani haijasoma yaani sieRewi eRewi itakuaje
Au tumcheki bosi Depal atupe mwongozo.Mimi hadi wakati huu ramani haijasoma yaani sieRewi eRewi itakuaje
Mbona kama mmejifungiaMimi hadi wakati huu ramani haijasoma yaani sieRewi eRewi itakuaje
Baada ya kumaliza parizi ya shamba.Hongereni japo najua hujalima wew😂😂😂
Hapana kakake
kitarasa ,kimara hii au wapi hy
kumbe upo charming eeh
mimi inategemea .. hadi nikuzoee na kuchekea .




mie inategemea tumekutana wapi? Ukianza kunichangamkia mie sichelewi kuchangamka pia. hahahahaha,mkuu km hujajipanga tuliaMsijisahau ,,,, salary ya mwezi huu ndio mpaka January ,,,, !!!
Kula/kunywa/spend kwa step !
Mshahara wako una sifuri ngapi ? La muhimu Sana hili kuzingatia !!!!
Festival season![]()
Sifa zote nnazooo, ngoja nichangamkie fursa.Wandugu fursa hii hapaView attachment 2455307View attachment 2455309
HatutakiiiiiiiiiiiiMorning selfika!!
Enjoy your time and have a wonderful and an enjoyable weekend wapendwa!!








U hovyo gan na wee? Muacheni afurahie atakavyo.Sijui amekuaje hata jina la hovyo avatar ndio usiseme!!
Lol santo sana Satoh sema mie sipo Dar Mkuu!! Huko kuna kina cocastic Tinsley Saint Anne Carrasco putin Poor Brain nawengine wengi!!
Kutaneni mfurahi pamoja wapendwa!!






niko buzzzy sanaaaaa. Barikiwa nawe pia mdadaAsante kwa kutukumbusha mkuu Barikiwa sana!!
Wameshaanza kusema hawako Dar. Wanakataa kijanja.tegemea kusikia majibu,ya watu kuwa hawako dar,






