Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,212
- 29,374
Au tumcheki bosi Depal atupe mwongozo.Mimi hadi wakati huu ramani haijasoma yaani sieRewi eRewi itakuaje
Au tumcheki bosi Depal atupe mwongozo.Mimi hadi wakati huu ramani haijasoma yaani sieRewi eRewi itakuaje
Mbona kama mmejifungiaMimi hadi wakati huu ramani haijasoma yaani sieRewi eRewi itakuaje
Baada ya kumaliza parizi ya shamba.Hongereni japo najua hujalima wew😂😂😂
Hapana kakake
kitarasa ,kimara hii au wapi hy
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie inategemea tumekutana wapi? Ukianza kunichangamkia mie sichelewi kuchangamka pia.kumbe upo charming eeh
mimi inategemea .. hadi nikuzoee na kuchekea .
hahahahaha,mkuu km hujajipanga tuliaMsijisahau ,,,, salary ya mwezi huu ndio mpaka January ,,,, !!!
Kula/kunywa/spend kwa step !
Mshahara wako una sifuri ngapi ? La muhimu Sana hili kuzingatia !!!!
Festival season [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56][emoji56]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sifa zote nnazooo, ngoja nichangamkie fursa.Wandugu fursa hii hapaView attachment 2455307View attachment 2455309
Hatutakiiiiiiiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Morning selfika!![emoji3577]
Enjoy your time and have a wonderful and an enjoyable weekend wapendwa!!
Hyo nn lekchalaaaa,mbna km soli ya kiatu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
U hovyo gan na wee? Muacheni afurahie atakavyo.Sijui amekuaje hata jina la hovyo avatar ndio usiseme!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niko buzzzy sanaaaaa.Lol santo sana Satoh sema mie sipo Dar Mkuu!! Huko kuna kina cocastic Tinsley Saint Anne Carrasco putin Poor Brain nawengine wengi!!
Kutaneni mfurahi pamoja wapendwa!!
Barikiwa nawe pia mdadaAsante kwa kutukumbusha mkuu Barikiwa sana!!
Wameshaanza kusema hawako Dar. Wanakataa kijanja.tegemea kusikia majibu,ya watu kuwa hawako dar,
[emoji851][emoji851][emoji851]hakika mkuuhahahahaha,mkuu km hujajipanga tulia