Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
nakula x mass dar, new year nitakua tindiga
nakula x mass dar, new year nitakua tindiga
hii unanikumbusha lubumbashi
Vijana someni maombi haya kwa uangalifu na kutimiza masharti yote. Wanajua waombaji watakuwa maelfu na wamechomekea kigezo cha leaving certificate huku wakijua kuwa vijana wengi ama hawana au hawatazingatia. Na hapo ndipo wanapata nafasi ya kuchuja waombaji kwa urahisi.Wandugu fursa hii hapaView attachment 2455307View attachment 2455309
Unaogopa kujibishana na mnyonya mbususu BL?Nipoo mkuu ila kwa Hilo jina hapana!!! Badilisha asee!!
Habari za Siku mingi lakini!







bukari na vilulu
Ngoja niwaambienakula x mass dar, new year nitakua tindiga
Oh sanahii unanikumbusha lubumbashi
damu ishachakaaaNgoja niwaambie
cocastic na Tinsley
Waku join na waku peti peti
Upate raha duniani
Ni damu changa sana hao
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Ngoja niwaambie
cocastic na Tinsley
Waku join na waku peti peti
Upate raha duniani
Ni damu changa sana hao
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app





kuna unacho kitafutaaaa wee sio bureee. Take it easy mjukuu...mambo hayako complicated kihivyo. Kwa sisi wazee tumeona mengi sana na hakuna cha kutubabaisha tena. Hata leo hii nikienda hospitali nikaambiwe nina terminal disease au sijui Mama E kaamua kunipiga chini ni poa tu yaani...Maneno hayaa yameugusa moyo wangu, hadi chozi linatokaaaa.
View attachment 2455513
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijipe shobo kwenye maisha ya watu. Jua nafasi yako kwao na chukua tahadhari...yaani linda moyo wako!
Cheza kwa kufuatisha mdundo wa ngoma ya maisha yako na yao...
Wakionyesha dalili za kutojali wewe weka skweadi kabisa ili muende sawa!
Maisha yako ni yako na uko responsible kwa asilimia 100%. Usilaumu mtu!
Hakuna mtu mwingine aliyezaliwa hapa duniani ili aje kukupa furaha, kukusaidia na kukupa mafanikio. Huo ni wajibu wako 100%
Usitegemee cho chote kutoka kwa mtu ye yote na always tambua kwamba binadamu ye yote yuko capable kufanya cho chote kwa wakati wo wote bila kujali kama ni mzazi, ndugu, mwenza......Nimezijaribu jana. Tamu hatari bageshi!Oh sana
Mitaa hiyo wanakula hizo chavi chavi
Wenyewe wanadai zina protein
Plate moja kama hiyo ni kwacha 300 × 140= 45000 Tsh
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
hahaha cocamie inategemea tumekutana wapi? Ukianza kunichangamkia mie sichelewi kuchangamka pia.
Pia sinaga shobo kwa pasipo stahili, wengi hawajawahi nielewaa, maana kubadilika n dkk 0.
Sent using Jamii Forums mobile app
thanksLol santo sana Satoh sema mie sipo Dar Mkuu!! Huko kuna kina cocastic Tinsley Saint Anne Carrasco putin Poor Brain nawengine wengi!!
Kutaneni mfurahi pamoja wapendwa!!
Unataka umalize madarasa yote nini kila siku unasoma. Haya bhana.
Pole sana
Nipo natafuta niambatisho A nione hizo faniWandugu fursa hii hapaView attachment 2455307View attachment 2455309