Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,815
Sasa Kama Ni poker mbona alikuwa mtu mstaarabu Sana,nini kimemkuta Hadi akaamua kujiita Hilo jina la hovyo na avatar ya kudhalilisha?
Mnyonya Mbususu una shida gani mkuu? Mbona ulikuwa mtu poa sana? Au unanusa gundi siku hizi inakulewesha..!?

Asee Kumbe shinyanga mahindi yanastawi hivi? sophy27 nikuoe Sasa Kisha nije ukweni tulime mahindi. Au unaonaje?Usukumani, shinyanga Tanzania.
Sijui amekuaje hata jina la hovyo avatar ndio usiseme!!Sasa Kama Ni poker mbona alikuwa mtu mstaarabu Sana,nini kimemkuta Hadi akaamua kujiita Hilo jina la hovyo na avatar ya kudhalilisha?
Mnyonya Mbususu una shida gani mkuu? Mbona ulikuwa mtu poa sana? Au unanusa gundi siku hizi inakulewesha..!?
Mie huyoo??? Thubutuuuuuuu!!
Inasikitisha sana..Sijui amekuaje hata jina la hovyo avatar ndio usiseme!!
Kabisa! Yasituumize kichwa!!Inasikitisha sana..
Mambo yake tumwachie mwenyewe..
Lol santo sana Satoh sema mie sipo Dar Mkuu!! Huko kuna kina cocastic Tinsley Saint Anne Carrasco putin Poor Brain nawengine wengi!!





Hongereni japo najua hujalima wew😂😂😂Sisi kwetu yako hivi! Huko kwenu vipi? Hali ya hewa inaridhisha, mawingu Kama unavyoyaona.
View attachment 2455339
Asante kwa kutukumbusha mkuu Barikiwa sana!!Msijisahau ,,,, salary ya mwezi huu ndio mpaka January ,,,, !!!
Kula/kunywa/spend kwa step !
Mshahara wako una sifuri ngapi ? La muhimu Sana hili kuzingatia !!!!
Festival season![]()
Kabisa wakutane km wengine tukibahatika tutajumuikaLol santo sana Satoh sema mie sipo Dar Mkuu!! Huko kuna kina cocastic Tinsley Saint Anne Carrasco putin Poor Brain nawengine wengi!!
Kutaneni mfurahi pamoja wapendwa!!
Amen itapendeza sana Satoh Hirosh mtu chake et al kampani nyingine hii hapa!Kabisa wakutane km wengine tukibahatika tutajumuika
Habeeb Upo Dubai wakula bata au upo Argentina unasherekea ubingwa na kina Messi?Lol santo sana Satoh sema mie sipo Dar Mkuu!! Huko kuna kina cocastic Tinsley Saint Anne Carrasco putin Poor Brain nawengine wengi!!
Kutaneni mfurahi pamoja wapendwa!!
Hakuna kubahatika,lazima uje kujumuika.Kabisa wakutane km wengine tukibahatika tutajumuika
😂😂😂Hakuna kubahatika,lazima uje kujumuika.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!Habeeb Upo Dubai wakula bata au upo Argentina anasherekea ubingwa na kina Messi?