cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Ndio Ninihaha pole sana aseee
yatakwisha tu jamani
ni first trimester au ?
Ndo nachokaaa hapooo tyuuh, afu sasa wote wadada, yule wa kwanza alisema walisoma wote Makongo sec, akat mie hapo Makongo hata Getini sijawahi kanyaga,
Huyu wa leo anasema alisoma nae primary huko Tanga, akat mie Tanga nilienda baada ya 4m 6, na nliishia pale Kabuku Mgambo JKT.
Najiulizaga nimefanana na wangapi? Wenginee utaskia wee si mtu wa kanda ya juu kusini unadanganyaa, mbna uko km mtu wa kanda ya kati.
N tafrani tyuuh.
Sent using Jamii Forums mobile app
ujauzito una mizunguko mitatu . kwa kizungu sasa miezi ya kwanza mitatu tunaiita first trimester na wa pili na wa tatu hivyo kwa kizungu .
Yeye analo li gpaujauzito una mizunguko mitatu . kwa kizungu sasa miezi ya kwanza mitatu tunaiita first trimester na wa pili na wa tatu hivyo kwa kizungu .
Wanachoshaaa mnooo.kha hao wamezidi , wamekufannisha na mtu shule huko dah .
mie ningewaacha kwa kweli ..





kwa kweli ..itakuwa upo friendly sana
yupo vizuri eehYeye analo li gpa
Sasa hivi
Humu ndani ni lugha 2 tu
Halafu zote sizielewi
Tunaenda hivyo hivyo
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Yaan nipoooo charming sanaaa, afu ni rafiki wa kila mtu sijui kununa.kwa kweli ..itakuwa upo friendly sana
kumbe upo charming eehYaan nipoooo charming sanaaa, afu ni rafiki wa kila mtu sijui kununa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nambie mkuu
Mda mwingi umekunja nditta.kumbe upo charming eeh
mimi inategemea .. hadi nikuzoee na kuchekea .
Not really ...Mda mwingi umekunja nditta.