Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

No one is perfect in this earth ..
We are all sinners and fall short of God's glory .
😅😅😅😅 Ndoa na kuwa wadhambi wapi na wapi tena.. Mie kama mwanaume, ndio nakupa siri...

Sie wanaume: Tunapenda mwanamke msikivu, mtiifu na wasio wajuaji, .. mwanamke akiwa hivyo automatic mwanaume mwenye akili utaona ana sumbit kwenye utii wa mwanamke as a result of love 😅😅
 
😅😅😅😅 Ndoa na kuwa wadhambi wapi na wapi tena.. Mie kama mwanaume, ndio nakupa siri...

Sie wanaume: Tunapenda mwanamke msikivu, mtiifu na wasio wajuaji, .. mwanamke akiwa hivyo automatic mwanaume mwenye akili utaona ana sumbit kwenye utii wa mwanamke as a result of love 😅😅
Nakuambia wewe unayejudge watu
 
Who knows , God has a plan for everyone . na anatuwazia mema sisi watoto wake.

I believe kuwa unaweza ukachelewa kupata kitu in life lakini kikaja kikadumu muda murefu na kukupa amani .
acha story asee.. Plan ya Mungu sio ndoa za uzeeni.. Andiko lipo linalothibitosha ndoa ni ujanani na sio uzeeni.. ukiona una ndoa ya uzeeni kuna mahala uliyumba ila kwakua Mungu anatupenda basi anakupa cha uzeeni chenzako mpeane joto 😅😅😅
 
😅😅😅 hakuna mahala nime judge.. Mungu anategemea watu kupata wenza katika ujana, ili wazee walee.. na sio uzeeni..
If you think Marriage is easy , why there are so many unfailed marriages ?

I may not be old enough , kuna watu wanajutia kuoa .. Sasa wewe go on na kushangaa why watu wanapata wenza uzeeeni
 
acha story asee.. Plan ya Mungu sio ndoa za uzeeni.. Andiko lipo linalothibitosha ndoa ni ujanani na sio uzeeni.. ukiona una ndoa ya uzeeni kuna mahala uliyumba ila kwakua Mungu anatupenda basi anakupa cha uzeeni chenzako mpeane joto 😅😅😅
Wewe ni mbishi kaa hapo mwenyewe .

What I'm telling you is easy kuwa sometimes unaweza ukakosa mwenza Wa ndoa ujanani ukaja kupata uzeeni huko .
Who knows mipango ya Mungu ?
 
If you think Marriage is easy , why there are so many unfailed marriages ?

I may not be old enough , kuna watu wanajutia kuoa .. Sasa wewe go on na kushangaa why watu wanapata wenza uzeeeni
😅😅😅 Na nani kakuambia ndoa ngumu ? Ndoa ngumu kama Mungu hayupo kwenye hiyo ndoa na haja ordain hiyo ndoa kuwepo.. challenges zingine zipo tu kwakua upo kwenye mwili wa damu na nyama.. Mnatishana huko kwamba ndoa ngumu ili ziwe za uzeeni ? kwaiyo uzeeni ndoa inakuwa rahisi ?
 
Wewe ni mbishi kaa hapo mwenyewe .

What I'm telling you is easy kuwa sometimes unaweza ukakosa mwenza Wa ndoa ujanani ukaja kupata uzeeni huko .
Who knows mipango ya Mungu ?
Na mie nakuambia mpango wa Mungu sio ndoa za uzeeni.. Na maandiko yao yanayothibitisha hilo.. uzeeni penyewe hata kuzaa inaweza ikawa changamoto.. sasa kusudi la nendeni mkaujaze ulimwengu linatimiaje hapo ? ndoa ujanani binti
 
😅😅😅 Na nani kakuambia ndoa ngumu ? Ndoa ngumu kama Mungu hayupo kwenye hiyo ndoa na haja ordain hiyo ndoa kuwepo.. challenges zingine zipo tu kwakua upo kwenye mwili wa damu na nyama.. Mnatishana huko kwamba ndoa ngumu ili ziwe za uzeeni ? kwaiyo uzeeni ndoa inakuwa rahisi ?

Haya wewe sema challenges , ni hadi uweze kuzimanage ...
Sio kutishana kwani hatuoni kuwa ndoa si ndoa tena .
Si kwa wanaume au wanawake .. Ni kuomba tu Mungu maisha yaende .
 
Haya wewe sema challenges , ni hadi uweze kuzimanage ...
Sio kutishana kwani hatuoni kuwa ndoa si ndoa tena .
Si kwa wanaume au wanawake .. Ni kuomba tu Mungu maisha yaende .
Ukiona kuna ndoa zina shida, na kuvunjika jua pia kuna ndoa zisizo na shida na hazivunjiki zimejaa amani tele upendo na furaha
 
Haya wewe sema challenges , ni hadi uweze kuzimanage ...
Sio kutishana kwani hatuoni kuwa ndoa si ndoa tena .
Si kwa wanaume au wanawake .. Ni kuomba tu Mungu maisha yaende .
ndio maana ndoa ni mchakato na kwa walio komaa, kama hujakomaa huwezi manage ndoa..
 
Na mie nakuambia mpango wa Mungu sio ndoa za uzeeni.. Na maandiko yao yanayothibitisha hilo.. uzeeni penyewe hata kuzaa inaweza ikawa changamoto.. sasa kusudi la nendeni mkaujaze ulimwengu linatimiaje hapo ? ndoa ujanani binti
Dude ni karne ya 21 hii , dunia imeendela .. IVF , surrogacy na sasa kuna Artificial womb inakuja
Halafu si uzee huo naongelea mie
Labda ukiwa 40 huko .

Ila wewe sasa mbona humuamini Mungu .Sarah alipata mtoto akiwa na miaka mingapi .
 
ndio maana ndoa ni mchakato na kwa walio komaa, kama hujakomaa huwezi manage ndoa..
Kwa hiyo hao wanaoachana daily hawajakomaaa eeh ?


Wewe ndoa changa ndo maaana unasema hivyo ... Bado mbichi kabisa .

Watu wanaachana baada ya mwezi tu .. Ni rehema za Mungu tu .
 
Sema mie masuala ya kiimani hasa kwenyee dini siko huko. Niwaachie wenyewe, ila nimeuliza couz huwa nasikia Ndoa ni kusudio la Mungu, na hataki uzinzi.

Ila bas achia hapo hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa, kwa imani ya Kristo Yesu alie mwokozi wa ulimwengu... Mungu hufurahi ndoa , na kweli Mungu hafurahii uasherati na uzinzi kwasababu vina athari kwa mtu, kwasababu ya pendo lake Mungu na huruma anatuelekeza tuache uasherati na uzinzi, tuwe na mtu mmoja ambae officially anatumbulikana ili kujiepusha na atahri za uasherati na uzinzi
 
Back
Top Bottom