National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,203
Sijakataa na sijakubali, nimeuliza hilo swali ili kumleta kwenye point nzuri sana akielewa hatopata shida, ndio maana nime muuliza nani kamuambia ndoa ni kusudi la Mungu ?Ko kumbe Ndoa sio kusudi la Mungu?
Mbna mnatuchanganyaa sasa!! Khaaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
mtu anae kuambia habari ana nguvu ya kufanya mtizamo wako kuwa katika namna flani..
nataka kujua kaambiwa na mchungaji wake, Roho wa Mungu, Neno la Mungu kwa ufunuo, au Mungu mwenyewe au kasoma tu humh Jf..


