Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amen asante sana ... Mungu ni mwema .
Bado binti mmbichi kabisa mzuri, huna haja ya kuhofu. Mkabizi Mungu mapito yako nae atayathibitisha.. Relax Focus na Mungu, Focus na Miasha yako.. Mungu anaandaa kilicho bora na usichokitegemea wala hujawai kukiota maisja mwako ili akupe furaha na kuondoa machozi yako ya uchungu na kukujaza machozi ya furaha
 
Single yako ya mchongo... Nipo single kwa vijana ambao hawajaoa
Wanaume walioa nawaogopa kama ukoma .
😅😅😅 acha woga nipo single uje tuyajenge tu... na hata kama nimeo mie naitwa Masoud, naruhusa ya kuoa wanne.. hofu yako nini mtoto mzuri mmbichi kabisa usie na makuu
 
Bado binti mmbichi kabisa mzuri, huna haja ya kuhofu. Mkabizi Mungu mapito yako nae atayathibitisha.. Relax Focus na Mungu, Focus na Miasha yako.. Mungu anaandaa kilicho bora na usichokitegemea wala hujawai kukiota maisja mwako ili akupe furaha na kuondoa machozi yako ya uchungu na kukujaza machozi ya furaha
Thank you , be blessed abundantly ..
Upweke utanimaliza aisee . naogopa kuelekea 30 huku
 
Thank you , be blessed abundantly ..
Upweke utanimaliza aisee . naogopa kuelekea 30 huku
Kuna kipindi Mungu anakufanya uwe mpweke ili akuhudumie...
Upweke ni mzuri sana kama utautumka vizuri.. fanya uwe hata unakuja pale , unasalimia salimia 😊😊😊
 
😅😅😅 acha woga nipo single uje tuyajenge tu... na hata kama nimeo mie naitwa Masoud, naruhusa ya kuoa wanne.. hofu yako nini mtoto mzuri mmbichi kabisa usie na makuu
Hata kama dini inaruhusu
Mie bhana , nina wivu siyawezi hayo mambo

Mke mkubwa ndo anapendwa hapo ... Ya nini kujichosha mie
 
Hata kama dini inaruhusu
Mie bhana , nina wivu siyawezi hayo mambo

Mke mkubwa ndo anapendwa hapo ... Ya nini kujichosha mie
Wivu haujengi, wivu unabomoa... kikubwa heshima tu..kama mwanaume anakupa heshima zote unazo stahili wivu unatoka wapi ?

Mke mkubwa anabaki kuwa mlezi ,
 
Back
Top Bottom