Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukiona kuna ndoa zina shida, na kuvunjika jua pia kuna ndoa zisizo na shida na hazivunjiki zimejaa amani tele upendo na furaha
Yeah zipo ila hujui chini ya kapeti kinachoendelea ... Wanandoa waone hivi wamesimama .

Do you think its easy to stay with one person let's say like 50 years ?
 
Dude ni karne ya 21 hii , dunia imeendela .. IVF , surrogacy na sasa kuna Artificial womb inakuja
Halafu si uzee huo naongelea mie
Labda ukiwa 40 huko .

Ila wewe sasa mbona humuamini Mungu .Sarah alipata mtoto akiwa na miaka mingapi .
Sarah na Ibrahim walianza ishi toka ujana ndoa yao..

Mpango wa uzazi wa Mungu sio huo unaotaka kuanzisha hapa..Mpango wa Mungu ni Me na Ke watombaner mimba itunge mtoto akae miezi yake tisa tumboni azaliwe kwasababu za kiroho zaidi.. na kama mwanamke tumbo likiwa limefungwa amlilie Mungu nae atalifungua..

Hizo technology ni mtego wa shetani ili kuja ku plant watu hybrid ..


Nani kakumbia miaka 40 ni mzee ?
 
Yeah zipo ila hujui chini ya kapeti kinachoendelea ... Wanandoa waone hivi wamesimama .

Do you think its easy to stay with one person let's say like 50 years ?
Nie easy ndio maana zipo ndoa hadi zina miaka 70.. na uelewe hata maisha sio easy, na uelewe hakuna kitu chochote rahisi kwenye maisha , kazi na hata ndoa, kunahitajia msimamo na Mungu ili kiweze kusonga..
 
Kwa hiyo hao wanaoachana daily hawajakomaaa eeh ?


Wewe ndoa changa ndo maaana unasema hivyo ... Bado mbichi kabisa .

Watu wanaachana baada ya mwezi tu .. Ni rehema za Mungu tu .
Ndio kama unaachana hujakomaaa na hiyo ndoa haijawa ordained na Mungu.

Nani kakuambia mie nina ndoa ?

Wewe hujielewi unachotetea au unachota.. Unasema ndoa ni kusudi na la Mungu ( kama ni kusudi la Mungu, maana yake ni positive )

hapo hapo unaongelea ndoa kuachana sasa je ? kusudi hilo la Mungu watu waingie kwenye ndoa na kuachana ?
 
Sarah na Ibrahim walianza ishi toka ujana ndoa yao..

Mpango wa uzazi wa Mungu sio huo unaotaka kuanzisha hapa..Mpango wa Mungu ni Me na Ke watombaner mimba itunge mtoto akae miezi yake tisa tumboni azaliwe kwasababu za kiroho zaidi.. na kama mwanamke tumbo likiwa limefungwa amlilie Mungu nae atalifungua..

Hizo technology ni mtego wa shetani ili kuja ku plant watu hybrid ..


Nani kakumbia miaka 40 ni mzee ?

Kijana mwisho miaka 35
Hata hivyo ke ukifika 40 upo halfway to meno pause ..

Mimi sihukuhumi sijui , what I know hizo modern technologies zinaisaidia wtu kupata Furaha na amani ..
Halafu kma surrogacy sio mbaya .. MTU anakubebea mimba since wewe huwezi kuibeba
 
Ndio kama unaachana hujakomaaa na hiyo ndoa haijawa ordained na Mungu.

Nani kakuambia mie nina ndoa ?

Wewe hujielewi unachotetea au unachota.. Unasema ndoa ni kusudi na la Mungu ( kama ni kusudi la Mungu, maana yake ni positive )

hapo hapo unaongelea ndoa kuachana sasa je ? kusudi hilo la Mungu watu waingie kwenye ndoa na kuachana ?
Bye Felicia
 
Kweli kabisa, kwa imani ya Kristo Yesu alie mwokozi wa ulimwengu... Mungu hufurahi ndoa , na kweli Mungu hafurahii uasherati na uzinzi kwasababu vina athari kwa mtu, kwasababu ya pendo lake Mungu na huruma anatuelekeza tuache uasherati na uzinzi, tuwe na mtu mmoja ambae officially anatumbulikana ili kujiepusha na atahri za uasherati na uzinzi
Sawaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana mwisho miaka 35
Hata hivyo ke ukifika 40 upo halfway to meno pause ..

Mimi sihukuhumi sijui , what I know hizo modern technologies zinaisaidia wtu kupata Furaha na amani ..
Halafu kma surrogacy sio mbaya .. MTU anakubebea mimba since wewe huwezi kuibeba

sasa kama meno pause ikitia team unazaa manini tena ? hiyo tu meno pause ni sababu kubwa ya kuonesha lengo la ndoa ni ujanani na sio uzeeni huko.. unaposema wewe..

Technology zinawapotosha sana mnaacha mtegemea Mungu na kutegemea Technology 😅😅😅 alafu hapo hapo unaleta habari za kusudi la Mungu alafu hapo hapo unamkataa Mungu na Technology
 
Ndio kama unaachana hujakomaaa na hiyo ndoa haijawa ordained na Mungu.

Nani kakuambia mie nina ndoa ?

Wewe hujielewi unachotetea au unachota.. Unasema ndoa ni kusudi na la Mungu ( kama ni kusudi la Mungu, maana yake ni positive )

hapo hapo unaongelea ndoa kuachana sasa je ? kusudi hilo la Mungu watu waingie kwenye ndoa na kuachana ?
Bhana umeoa acha hizi
 
sasa kama meno pause ikitia team unazaa manini tena ? hiyo tu meno pause ni sababu kubwa ya kuonesha lengo la ndoa ni ujanani na sio uzeeni huko.. unaposema wewe..

Technology zinawapotosha sana mnaacha mtegemea Mungu na kutegemea Technology 😅😅😅 alafu hapo hapo unaleta habari za kusudi la Mungu alafu hapo hapo unamkataa Mungu na Technology
Hapo sikatai
Mimi nashabikia technology
Kichwa hiki kinapenda hayo mambo
 
Back
Top Bottom