Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hayanaga mwongozo na hakuna fomyula mjukuu. Ndo maana akina Shilole wanaolewa kila leo na kuna wengine hakuna kitu....maisha yako hivyo. Kila mtu na safari yake ndiyo maana tunashauriwa sana kutoiga mambo ya wengine au kujilinganisha nao!
Sahihi ,kabisa sema sasa najiuliza nitatoka na wangapi had nipate atakayenioa ? Bora nistick na huyo ilimradi ananipenda na kunijali

Wacha watu wawe spinsters tu .
Comparison is a thief of joy ... When you compare yourself with others , you will end up getting hurt basi .
 
kabisaaa babuu yaan huyu lazimaaa avaee tyuuh atake asitakeee. Asinichezee kabisaaa na navyopenda kuwa official Mrs fulaan, ameyakanyagaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
ooh! kumbe mnapenda ndoa, ila mnakaza shingo, jifunzeni kuwa wasikivu na watii kwa me wenu.. Mwabaume anapenda kusikilizwa na mtu alie mtii.. sio mwanamke unamuambia fanya hivi hafanyi , ujuaji mwingi hapo lazima uchezee sana jaramba
 
ooh! kumbe mnapenda ndoa, ila mnakaza shingo, jifunzeni kuwa wasikivu na watii kwa me wenu.. Mwabaume anapenda kusikilizwa na mtu alie mtii.. sio mwanamke unamuambia fanya hivi hafanyi , ujuaji mwingi hapo lazima uchezee sana jaramba
sasa km hataki si aniambie ko. Kunichezea mda mrefu hvyo afu aniache, anamuachia nan? Haiwezekan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa km hataki si aniambie ko. Kunichezea mda mrefu hvyo afu aniache, anamuachia nan? Haiwezekan

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mjifunze kuwa watii
Ndio mjifunze kuwa wasikivu
Ndio msiwe waongeaji sana na kujidai wajuaji, jambo mwanaume hajamaliza kuongea ushadakia ..

hapo lazima ukalishwe bench, kila siku utaona huolewi, au huna bahati kumbe unajiroga mwenyewe na tabia zako 😅😅😅😅😅
 
Ndio mjifunze kuwa watii
Ndio mjifunze kuwa wasikivu
Ndio msiwe waongeaji sana na kujidai wajuaji, jambo mwanaume hajamaliza kuongea ushadakia ..

hapo lazima ukalishwe bench, kila siku utaona huolewi, au huna bahati kumbe unajiroga mwenyewe na tabia zako 😅😅😅😅😅
Why unakuwa unaponda wadada hivyo ?
Ndoa ni kusudi la Mungu lazima tulitii kama watoto wake
 
It clearly shows how una mtazamo mbaya juu ya wadada .

I don't want to talk with you kuhusu Mungu maana najua maada haitoisha leo .
Nimekuambia nioneshe wapi na mtazamo mmbaya na wadada au wapi nime dhalilisha hata dada mmoja humu ?

Mwanaume anapenda ; mwanamke mtii, mwanamke msikivu, mwanamke asie mjuaji , na mwanamke alie tayari kufundishika... hapo hakuna mwanaume atae kuwa mgumu wa kutimiza ayatakayo mwanamke pia.. ila kama mwanamke hana hayo kila siku ataachwa na ataona kama hana bahati kumbe anajiroga asiolewe..


Mie nimekuuliza nani kasema ndoa ni kusudi la Mungu, sipo hapa kufanya mijadala ya kidini. Jibu kifupi tu basi
 
Ndio mjifunze kuwa watii
Ndio mjifunze kuwa wasikivu
Ndio msiwe waongeaji sana na kujidai wajuaji, jambo mwanaume hajamaliza kuongea ushadakia ..

hapo lazima ukalishwe bench, kila siku utaona huolewi, au huna bahati kumbe unajiroga mwenyewe na tabia zako
Hayana formulaaa hata ukiwa km malaika km hakupendi n hakupendi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom