Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapana Mjomba yani nikiwaza haya mautamu makeke yotehaya nahili bororiee anapenyezewa mwenzangu uwiiiii!! Hapanaaa!!
😅😅😅 huo ubinfsi shangazi, acha akapate uzoefu mpyaa, alafu unajua kuna mambo ukiwa na mkeo ndani uwezi fanya, ila kazi za nje unafanya kwa amani kabisa 🤣🤣
 
😅😅😅 huo ubinfsi shangazi, acha akapate uzoefu mpyaa, alafu unajua kuna mambo ukiwa na mkeo ndani uwezi fanya, ila kazi za nje unafanya kwa amani kabisa 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Kama mambo gani lol? Si unamuelekeza mkeo akufanyie au umfanyie lakini!!🤔
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Kama mambo gani lol? Si unamuelekeza mkeo akufanyie au umfanyie lakini!!🤔
😅😅😅 banaa wewe kuna vitu vinapatikana nje tu .. ndoa na mke wana kuna heshima zake ila nje huko ahaaaa unakuwa huna mipaka unafikiri kwanini wanaume ambao sio wakomavu wana vunja ndoa au kuleta mushkeri ndani ya ndoa zao na wake zao, kuna mabaraaa huko nje wanakutana nayo ambayo ndani hayatekelezeki na haitakaa yawezekana labda uone mtu ambae umekuta ana hayo mabalaa na mlisha gongana ule mpaka unakuwa haupo
 
😅😅😅 banaa wewe kuna vitu vinapatikana nje tu .. ndoa na mke wana kuna heshima zake ila nje huko ahaaaa unakuwa huna mipaka unafikiri kwanini wanaume ambao sio wakomavu wana vunja ndoa au kuleta mushkeri ndani ya ndoa zao na wake zao, kuna mabaraaa huko nje wanakutana nayo ambayo ndani hayatekelezeki na haitakaa yawezekana labda uone mtu ambae umekuta ana hayo mabalaa na mlisha gongana ule mpaka unakuwa haupo
Hio mibalaa wanaiweza michepuko mjomba mie hekaheka zisiweziii😁😁
 
😅😅😅😅 sio michepuko tu, hayo mambo ni ya makurumbembe.. kama huna kifua unazimia 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁! Mjomba wangu expert bila shaka hutamsumbua mgoreee na hekaheka zako hizoooo😁😁!
Kweli mikurubembe Ndio inaweza hizo kashikashi😁😁😁
Mjomba una balaa wewe
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁! Mjomba wangu expert bila shaka hutamsumbua mgoreee na hekaheka zako hizoooo😁😁!
Kweli mikurubembe Ndio inaweza hizo kashikashi😁😁😁
Mjomba una balaa wewe
😊😊😊 huyu wa ndani mbona ananiona kama malaika sijui kitu mie 🤣🤣🤣🤣 .. tafrani ni nje tu na sio ndani.. ndani kuna zaidi ya hilo.. ndani vibe kukaa na mtu anae kupenda na kukuheshimu na kama rafiki yako mnapiga story umbea ni raha tupu.. ila huko nje hamna mambo hayo kule ni baraa tu kama mieleka na lugha kali 😅😅😅
 
😊😊😊 huyu wa ndani mbona ananiona kama malaika sijui kitu mie 🤣🤣🤣🤣 .. tafrani ni nje tu na sio ndani.. ndani kuna zaidi ya hilo.. ndani vibe kukaa na mtu anae kupenda na kukuheshimu na kama rafiki yako mnapiga story umbea ni raha tupu.. ila huko nje hamna mambo hayo kule ni baraa tu kama mieleka na lugha kali 😅😅😅
Kama malaika🤣🤣🤣🤣!
 
Back
Top Bottom