Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Na umejuaje kama yupo na mtu mwingine?
Usije hisi amekuacha kumbe si kweli.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Usipopendwa utajua haina kuuliza hiyo
Na umejuaje kama yupo na mtu mwingine?
Usije hisi amekuacha kumbe si kweli.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Usipopendwa utajua haina kuuliza hiyo
Ushakidhi vigezo, tulia tukuonyeshe who we are😂😂😂😂 em niiteni Mbudya kwanza
Abeee 😂😂Pia mda unaweza kuwa mrefu na umewekeza ila je ni mtu wako ali kusudiwa kuna mahala tunawekeza tukihisi sahihi ila kumbe sio.. nilishawekeza mahala na kulipa ada juu na kwao walikuwa wananijua na nikaachwa nikaanza kulaani wapi, mtoto wa watu aliolewa na mtu mwenye hadhi ya juu , dua zote zilipiha mwamba 🤣🤣🤣🤣🤣 na sasa hivi wanaishi vizuri na siku ya harusi yangu walikuja na Mr wake .. watu tunakimbilia kuumia bila kuangalia upande mwingine na kupata tafsiri , unaweza ukawa unaachwa kwasababu una matatizo ambayo hujaona kuwa ni matatizo na unaweza kuachwa kwasababu Mungu hataki uolewe na huyo mtu na unaweza achwa unalogwaa kama Depal 🤣🤣🤣 case zipo nyingi.. nililipa ada miaka mitatu ila chari na laana zangu hazikufanya kazi 🤣😃
Kama amewekeza alie labda anaweza rudi .. huenda machozi yakafika mbinguniUkiona mtu ameaumia ujue aliwekeza.
Cha kwanza kabla ya vyote ni muda.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kama ni wako ni wako tu hata azunguke dunia nzima still kuna ile roho fulani hiviMimi nikiona mtu haeleweki namuuliza mapema
Kwanza hekaheka zangu duh!
Mapema sana ntamchosha.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nena Kwa lugha bhasTinsley ampotezee tu ila mimi nasimama kumuombea Tinsley
Mungu apige hiyo Ng'ombe pigo la fainali
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hujajua wachawi wako wanao kuchawia ati usiolewe 😅😅😅Abeee 😂😂
Msijifiche sana basiSasa kama ali date mbwa
Ulitegemea Nini
Muwe mna date na binadamu wenzenu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
raboshaka, rabosike parikatoyabia, rabosiyanda rabashika 😅😅😅 kanituma nimsaidie
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂😂😂😂Ushakidhi vigezo, tulia tukuonyeshe who we are😂
Pia mda unaweza kuwa mrefu na umewekeza ila je ni mtu wako ali kusudiwa kuna mahala tunawekeza tukihisi sahihi ila kumbe sio.. nilishawekeza mahala na kulipa ada juu na kwao walikuwa wananijua na nikaachwa nikaanza kulaani wapi, mtoto wa watu aliolewa na mtu mwenye hadhi ya juu , dua zote zilipiha mwambana sasa hivi wanaishi vizuri na siku ya harusi yangu walikuja na Mr wake .. watu tunakimbilia kuumia bila kuangalia upande mwingine na kupata tafsiri , unaweza ukawa unaachwa kwasababu una matatizo ambayo hujaona kuwa ni matatizo na unaweza kuachwa kwasababu Mungu hataki uolewe na huyo mtu na unaweza achwa unalogwaa kama Depal
case zipo nyingi.. nililipa ada miaka mitatu ila chari na laana zangu hazikufanya kazi
![]()






Nilijua huku ndio unakuja
Wala usijione mjinga na Wala usijihukumu.
Kutokujua siyo kosa lako.
Ni yeye tu ameamua kufanya ushenzi wa kishenzi.
Ilikuwaje mkaachana?
Ulimkosea?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Bora wewe dishi leo limekaa vizuri umeonge pwoint 😅😅😅Kama ni wako ni wako tu hata azunguke dunia nzima still kuna ile roho fulani hivi
Ndiomana wengine wanazungukaa weee na yanawashinda huko badae anajutia ujinga aloufanya Huku unamcheka tyu nhihihi 😁
Mwambie ulivyonitapeli juziNimuulize swali gani we mtukutu tu 😅😅
🤣🤣🤣Nilijua huku ndio unakuja
Umbea na ufukunyuku
Ukishajua unataka iweje
Kaa kwa kutulia
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Hakuna haja ya kuulizaaa unajiongeza kiutu uzima bila makelele wala fujo!! Mwenyewe kama ana akili timamub nafsi itamsuta ukute Akili kama za mjomba National Anthem sasa🤣🤣utajutraaaMimi nikiona mtu haeleweki namuuliza mapema
Kwanza hekaheka zangu duh!
Mapema sana ntamchosha.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Azunguke dunia nzima afu arudi anikute nipo hapo hapo na nimpokee?Kama ni wako ni wako tu hata azunguke dunia nzima still kuna ile roho fulani hivi
Ndiomana wengine wanazungukaa weee na yanawashinda huko badae anajutia ujinga aloufanya Huku unamcheka tyu nhihihi![]()
Ukisikia dua ya kuku haimpati mwee ndio hizo 😅😅😅 kwanza karma inakugomea mlikuwa mna zini wote wadhambi, bora mmeachana msiendelee kufanya dhambi.. karma inafanya kwa walio kuwa ordained na Mungu au walio na ndoa.. ila tunao okotana huku chapa ilale
Labda kama Mungu ameamua hayo mahusiano yavunjike
Ila vinginevyo aiseee atavuna alichopanda huyo mwambaView attachment 2448820
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
UongooKama ni wako ni wako tu hata azunguke dunia nzima still kuna ile roho fulani hivi
Ndiomana wengine wanazungukaa weee na yanawashinda huko badae anajutia ujinga aloufanya Huku unamcheka tyu nhihihi 😁
Nakazia...Hakuna haja ya kuulizaaa unajiongeza kiutu uzima bila makelele wala fujo!! Mwenyewe kama ana akili timamub nafsi itamsuta