Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwanza kwanini mtu umtendee mwenzio ubaya??
Ushetani tu.

Dawa ya moto ni moto,,hatabaki salama.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Karma is a bitch.... Anashangaa mtu una furaha zakooo na Amani telee nafsi inamsuta mwenyewe!

Mapenzi hayaaa!! Na unaeza ona umefikaaaa kumbee ndiokwanzaaa kumekucha 🤣🤣🤣!!
Mapenzi shenzisana😂😁😁
 
Huyo boya katili aliyekuumiza hivi majuzi naona amekuachia majeraha mabaya sana moyoni mjukuu. Please usimruhusu akufanye uchukie wanaume wote. Huo ni mzigo mzito sana kuubeba jamani. Wewe mwachilie kabisa kabisa na japo anaweza kuwa anajiona kuwa ni mjanja kwa sasa, Karma atakutana nayo tu huko mbele ya safari ama kwake mwenyewe au kwa uzao wake! Kama kakuacha na kwenda kuoa mwingine yaani atachapiwa huko aletewe na magonjwa mpaka atakukumbuka wallahi!

Japo mambo yamebadilika sana lakini wanaume wenye utu, upendo na ubinadamu bado wapo mjukuu. Just know how to attract/find them and always keep your intentions pure.

Hebu moyo wako huo uliojeruhiwa na ukapone na asubuhi njema yenye mapenzi ya kweli, matumaini, amani na furaha ikakupambazukie mjukuu
babuuuu wee km bibi mama E unampenda hvyo ni wee, hawa wengine ni chapaaa ilaleeeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza shikamoo babu

Thank you jamani ,nashukuru sana kwa maneno yako ya faraja ubarikiwe zaidi na zaidi.

Nawaogopa wanaume yaani nahisi sina bahati kwa mambo hayo ,atakuja mwingine anidanganye na kuniacha .

Nitajitahidi kuwa na mtazamo tofauti juu ya wanaume. Ili niweze kupenda tena .

Almost there ...
Dear hivi anaye kuumiza wee haogopi? Hajistukii? Upoleee, ukimyaa, ustaraaabu, hekima na heshima zote hizo? Mbna wee ni wa kuolewaa tena kwa ndoa jumlaaa.

Wanaume hawa jamaniiiiiii khaaaaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom