Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😅😅😅 mtu hamjazaliwa pamoja, mmekutana ukubwani huko mna age ya utu uzima, mtu hujui background yake, hujui walio wekeza kwake.. leo unataka ufe nae ..hapo hata karma inakugomea
Mtu.. kama mmekua toka utotoni kama mapenzi ya kikorea hapo sawa, ila mmekutana mna miaka ya ukubwani hamjadumu hata miezi misaba unaliaaa.. ujue kuna something wrong .. Pole kwa wanao umia kwakweli
Hamjadumu hata miezi 7 unaliaaa ujue something wrong🤣🤣🤣
 
Hamjadumu hata miezi 7 unaliaaa ujue something wrong🤣🤣🤣
Naona mtu ina make sense kulia na karma kuwa upande wako, kama umewekeza vya kutosha ( ikiwa mda wako, nguvu zako, afya hako na hata kama kuna cent zako ) kwa miaka na miaka mna kuna maneno ya kinywa chake na chako yanawafunga.. tayari kuna stage mmevuka kilio chake chako.. hapo chozi lako linaweza kuwa na mantiki, ila mtu unakuta hujawai hata nunuliwa chupi au kumnunulia boxer alafu unalia 🤣🤣🤣🤣🤣 inabidi ukapimwe mikojo kwa mkemia mkuu.. Maisha na Mapenzi siku hizi watu wanayaangalia kimanufaa sana na sio mapenzi na kuna watu wana hisi wanapenda kumbe wana hisia na sio upendo
 
mtu hamjazaliwa pamoja, mmekutana ukubwani huko mna age ya utu uzima, mtu hujui background yake, hujui walio wekeza kwake.. leo unataka ufe nae ..hapo hata karma inakugomea tu.. kama mmekua toka utotoni kama mapenzi ya kikorea hapo sawa, ila mmekutana mna miaka ya ukubwani hamjadumu hata miezi misaba unaliaaa.. ujue kuna something wrong .. Pole kwa wanao umia kwakweli
Ukute walivuka hiyo miezi 7

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom