National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,202
😅😅😅 unamuibia mwenzio changeNina sauti ya wizi na huniambiii Lenie
😅😅😅 unamuibia mwenzio changeNina sauti ya wizi na huniambiii Lenie
Sasa kama ali date mbwaDuh aiseee kuna watu ni mashetani.
Na upole wako wote huo mtu anakuumiza??
MUNGU atakupa mwingine mama, ila kaa kwa kutulia.
Safari hii usijihangaike Kwa lolote,, Mungu mwenyewe atamleta..
Nakuombea sana.
Huyo aliyekutenda lolote limpate huyo mbwa
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😂😂 ndo maana uliniacha kwenye mataa juzikatepeli pro max hako 😅😅😅 kasikuingize kingi... ukikasikia hivi maskini unaweza patwa na huruma ghafla hadi utokwe chozi.. ukishakaelewa ndio utajua unadeal na Iddi amini dada
Aseme nini?? Mpaka ufumanie au??? Akwendreeeeee mapemaaa najienguaaa mie Sinaga msalie mtume kwenye kuniletea upuuzi!
Bora mtu aseme aisee.
Si wote wanaweza kugundua.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Me mpole sana, na sinaga maneno wala fujo na kiumbe chochote 🤣🤣🤣😂😂😂 mpole? Wasio kujua ee
Nakula na hamna kitu mtanifanya
Ukiona mtu ameaumia ujue aliwekeza.Point kubwa umewekeza nini ndani ya huo mda .Kuna wapenzi wana miaka lakini hakuna uwekezaji zaidi ya kupotezeana mda.. hata Mungu anatuhuku kutokana na uwekezaji wake ila asingefanya uwekezaji asingekuwa na haki ya kutuhukumu
😂😂😂 sahivi cm zote naongea na sauti ya 7Naomba tu usije kumuibia kaka angu jamani
Heee sijui nitakufanyaje, yaani sijui
Punguza unokoWewe mstaarabu sana,
Hukustahili hayo
Nimeumia.
Huyo shetani popote alipo cha moto atakiona,
Ni suala la muda tu.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Sasa kama ali date mbwa
Ulitegemea Nini
Muwe mna date na binadamu wenzenu
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app






!!! Watu tunabadilika Wigee mwanzo Huwezi juaaa... endeleeni sasa mtajua hamjui


!😂😂😂😂😂 na ya juzi ulikokuwa unacheka cheka




!🤣🤣🤣🤣😂😂😂 sahivi cm zote naongea na sauti ya 7
Muulizee😅😅😅 unamuibia mwenzio change
Haki kwenye
Chizi sana Dogo
Malipo ni hapahapa duniani.
Ila ili yafanye kazi,lazima usijichoshe Kwa namna yoyote ile kulipa.
Mwachie Mungu alipe.
Yaani kama alimuumiza mtoto wa watu bila sababu aisee atalipwa tu.
Mungu ni wa haki.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Pia mda unaweza kuwa mrefu na umewekeza ila je ni mtu wako ali kusudiwa kuna mahala tunawekeza tukihisi sahihi ila kumbe sio.. nilishawekeza mahala na kulipa ada juu na kwao walikuwa wananijua na nikaachwa nikaanza kulaani wapi, mtoto wa watu aliolewa na mtu mwenye hadhi ya juu , dua zote zilipiha mwamba 🤣🤣🤣🤣🤣 na sasa hivi wanaishi vizuri na siku ya harusi yangu walikuja na Mr wake .. watu tunakimbilia kuumia bila kuangalia upande mwingine na kupata tafsiri , unaweza ukawa unaachwa kwasababu una matatizo ambayo hujaona kuwa ni matatizo na unaweza kuachwa kwasababu Mungu hataki uolewe na huyo mtu na unaweza achwa unalogwaa kama Depal 🤣🤣🤣 case zipo nyingi.. nililipa ada miaka mitatu ila chari na laana zangu hazikufanya kazi 🤣😃
Nimuulize swali gani we mtukutu tu 😅😅Muulizee
😂😂😂 em niiteni Mbudya kwanza🤣🤣🤣🤣
Usije kula mtaji wetu wa biashara
Mimi nikiona mtu haeleweki namuuliza mapemaAseme nini?? Mpaka ufumanie au??? Akwendreeeeee mapemaaa najienguaaa mie Sinaga msalie mtume kwenye kuniletea upuuzi!
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 na ya juzi ulikokuwa unacheka cheka
Nabii wa uongo weweNi suala la muda.
Popote alipo lolote limkute mwaka huuhuu.
Nimebadili maombi.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app