Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Anne WigeeUna siasa kama Anne Wigee!!
Kaenda kusali
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Anne WigeeUna siasa kama Anne Wigee!!
Zimefika 😍😂😂😂
Msalimie 🥰
Ww unaniqoute nn na tunaongea 😂😂😂😂Zimefika 😍
Mungu afungue kichwa changu ni kizito hatari .🤣🤣🤣🤣Kuna visavisa fulani hivi vikianza unajua kabisaaa this is red alert....😁😁😁!! Unajiandaa kwa lolote😂
🤣🤣🤣🤣Ww unaniqoute nn na tunaongea 😂😂😂😂
Unanimalizia chaji
Waletreeeeeeee.... acha tubadili radha hukooo!!😂😂
😂😂😂😂😂😂 ukoje lakini🤣🤣🤣🤣
Na nimekuquote tena ole wako usijibu
Nilifeli aisee nilidumbukia miguu yote sema mimi siwezi danganya ndo manaa ... Sijui ilikuwaje nikawa na karoho hiki .Kanuni ya mapenzi huijui dear? Mguu m1 ndani mguu m1 nje.
Hata ukiingia miguu yote, ukikumbuka kuwa hukuzaliwa nae, bas mguu m1 ni njee lazimaaa yaan. Ulikwamaaa wapiii dear??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakunywa soda hapa, karibu😂😂😂😂😂😂 ukoje lakini
Unanimalizia chaji ya kuzungumz me baadae
wafundishe 😅😅... ila mbona mie naingiaga miguu yote na sipatwi na kitu.. shida kuhisi unakufa naeKanuni ya mapenzi huijui dear? Mguu m1 ndani mguu m1 nje.
Hata ukiingia miguu yote, ukikumbuka kuwa hukuzaliwa nae, bas mguu m1 ni njee lazimaaa yaan. Ulikwamaaa wapiii dear??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema haki ya naniBongesa la tumbuaa manaeeeee ! limenounaaaa![]()
Sitaki 😂😂😂Nakunywa soda hapa, karibu
Asante kwa kukaziaaa mjombaa😎!!wafundishe 😅😅... ila mbona mie naingiaga miguu yote na sipatwi na kitu.. shida kuhisi unakufa nae
Kimya kimya inaitwaDah!
Alibadilikaje badilikaje??
Na alipoondoka alikuambia nini?au ndio ilikuwa kimyakimya?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Au Ukafie mbeleeeee 🤣🤣🤣🤣!!!! Watu washaonja zaoo haooo!! 😁😁Kimya kimya inaitwa
Utajijua mwenyewe hahhaa
😅😅😅 mtu hamjazaliwa pamoja, mmekutana ukubwani huko mna age ya utu uzima, mtu hujui background yake, hujui walio wekeza kwake.. leo unataka ufe nae ..hapo hata karma inakugomea tu.. kama mmekua toka utotoni kama mapenzi ya kikorea hapo sawa, ila mmekutana mna miaka ya ukubwani hamjadumu hata miezi misaba unaliaaa.. ujue kuna something wrong .. Pole kwa wanao umia kwakweliAsante kwa kukaziaaa mjombaa😎!!
Depal ndio anatabia ya kulia😅😅😅 mtu hamjazaliwa pamoja, mmekutana ukubwani huko mna age ya utu uzima, mtu hujui background yake, hujui walio wekeza kwake.. leo unataka ufe nae ..hapo hata karma inakugomea tu.. kama mmekua toka utotoni kama mapenzi ya kikorea hapo sawa, ila mmekutana mna miaka ya ukubwani hamjadumu hata miezi misaba unaliaaa.. ujue kuna something wrong .. Pole kwa wanao umia kwakweli
😂😂😂😂 hivi watu wanajua kama wewe ni mkorofi sana??Utataka
Na next week tunatuma nauli utajua hujui🤣🤣🤣