Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Dia nasubir unitumie paja lako nipo stand hapaPisi karee my foot!! Tonniah hana lolote mbwa tyu

Dia nasubir unitumie paja lako nipo stand hapaPisi karee my foot!! Tonniah hana lolote mbwa tyu

NAKATAAPisi karee my foot!! Tonniah hana lolote mbwa tyu
Kiunoni si huwa unavaa mkanda lakini! Ni ngumu kulifichaShule sitakagi mazoea na watoto misketi yangu bwangaaaaa!!
Weeeeh sio kwaule mpapa umenougaaaa...shemeji anafauduuu Walai mfikishie salamuu 😋Balaa wapi tunazoom camera my dear.
Hapana natupia tu kama ni gauni au sketi bwangaaaaKi
Kiunoni si huwa unavaa mkanda lakini! Ni ngumu kulificha
🤣🤣🤣🤣🤣KhaaaWeeeeh sio kwaule mpapa umenougaaaa...shemeji anafauduuu Walai mfikishie salamuu 😋
Mi nazunguluka pote humu; auxillary police nimewatia mfukoni.
Huyo boya katili aliyekuumiza hivi majuzi naona amekuachia majeraha mabaya sana moyoni mjukuu. Please usimruhusu akufanye uchukie wanaume wote. Huo ni mzigo mzito sana kuubeba jamani. Wewe mwachilie kabisa kabisa na japo anaweza kuwa anajiona kuwa ni mjanja kwa sasa, Karma atakutana nayo tu huko mbele ya safari ama kwake mwenyewe au kwa uzao wake! Kama kakuacha na kwenda kuoa mwingine yaani atachapiwa huko aletewe na magonjwa mpaka atakukumbuka wallahi!Amen ila wanaume hawa lol
Inabidi kwenda nao kwa step .
Tupia kule nikuchekeshe kituPoa dear
hata kwako shemeji anafaudu sana!🤣🤣🤣🤣🤣Khaaa
Na anafaudu kwelikweli..salamu zimefika kipenzi 😍😘
Ndiooo ndiiioooooooooooo 💃💃💃💃!!🤣🤣🤣🤣🤣Khaaa
Na anafaudu kwelikweli..salamu zimefika kipenzi 😍😘
Ghafla sana mbona
Huyo boya katili aliyekuumiza hivi majuzi naona amekuachia majeraha mabaya sana moyoni mjukuu. Please usimruhusu akufanye uchukie wanaume wote. Huo ni mzigo mzito sana kuubeba jamani. Wewe mwachilie kabisa kabisa na japo anaweza kuwa anajiona kuwa ni mjanja kwa sasa, Karma atakutana nayo tu huko mbele ya safari ama kwake mwenyewe au kwa uzao wake! Kama kakuacha na kwenda kuoa mwingine yaani atachapiwa huko aletewe na magonjwa mpaka atakukumbuka wallahi!
Japo mambo yamebadilika sana lakini wanaume wenye utu, upendo na ubinadamu bado wapo mjukuu. Just know how to attract/find them and always keep your intentions pure.
Hebu moyo wako huo uliojeruhiwa na ukapone na asubuhi njema yenye mapenzi ya kweli, matumaini, amani na furaha ikakupambazukie mjukuu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Bado hujashiba dear???Ghafla sana mbona
Nimeagiza msosi hapa nasubiriaBado hujashiba dear???
Pole mamy inaonesha umejeruhiwa sana mpaka umejenga negativity fulani hivi! Mungu aponye jeraha la moyo wako kipenzi!!Kwanza shikamoo babu
Thank you jamani ,nashukuru sana kwa maneno yako ya faraja ubarikiwe zaidi na zaidi.
Nawaogopa wanaume yaani nahisi sina bahati kwa mambo hayo ,atakuja mwingine anidanganye na kuniacha .
Nitajitahidi kuwa na mtazamo tofauti juu ya wanaume. Ili niweze kupenda tena .
Almost there ...
Usiweke kwanzaaa nibust kimeo changu jamani!Nimeagiza msosi hapa nasubiria
Nikishiba tu mimi huyu apa live naked