Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ukisikia mbuzi kafia kwa muuza supu ndo hii sasa ya mm kuitwa kutoa ushauri juu ya kumwaga umbea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Ila nampenda Yesu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mda wa kuremba nnao sasa? Yann nianzee kuumia na kijiba cha nafsi? Tumalizane kila mtu ashike 40 zakee.
 
Habari ndiyo hiyo lazima apite njia moja na msigwa kindezi hutoboi,

Nyie endeleeni kukopa tu mnamfanyia biashara yeye,

Na wakali balaa ukizingua kwenye marejesho ukichelewa tu lisaa wanakufuata kusanya vitu piga mnada.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mabena wana maana kwan? Tena ukikopa sasa ndo umeingia nuksi hupati hela, na lazima ushindwe wanakuja kusomba vitu vyoteee.
 
Back
Top Bottom