Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Achana naye,mambo ya kugombana yamepitwa na wakati.

Dawa ya mtu mwenye makwazo ni kuachana naye,ukiweza mlime block.
Baadaye akiona anakukwaza na haujali basi atajiona mjinga.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nimeachana nae..ila hata sikutaka kugombana nae walaa huo muda sinaga.
Ahsante Sana mdogo wangu
 
Nimeachana nae..ila hata sikutaka kugombana nae walaa huo muda sinaga.
Ahsante Sana mdogo wangu
Kawaida ya mtu mgomvi anakutafutia angle ili mgombane.
Ukiingia na wewe basi utakuwa umenasa mtegoni.

Wewe ni mtu poa,sitegemei uanze upuuzi wa kurushiana maneno na watu wanaokutafutia ugomvi.


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Uwe Babu yangu wewe

Dunia itaisha saa Tano asubuhi hii

Hivi mfalme daud si ndio alizini na mke wa askari wake
Nadhani Mfalme Daud alipata ajali tu kama inavyoweza kumtokea Mwanaume yeyote kutamani 🙊

Holiday hii nitakuwa Ziwani huko Kanda ya Ziwa kuendelea na shughuli zangu za Uvuvi. Unaweza kupita kunisalimia Mkuu
 
Niliwahi sikia eti mabena hata 30yrs hajafika, mmmh ukute ameingia njia zisizofaa maana hela zina mengi bhana. Lol.
Habari ndiyo hiyo lazima apite njia moja na msigwa kindezi hutoboi,

Nyie endeleeni kukopa tu mnamfanyia biashara yeye,

Na wakali balaa ukizingua kwenye marejesho ukichelewa tu lisaa wanakufuata kusanya vitu piga mnada.
 
Somewhere
20221206_095830.jpg
 
Back
Top Bottom