Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,248
Wewe shangazi wa mjiniMie marefu ndio nayapenda hapo nimesuka pakti mbili kimoja wanaweka 24 tu washenzi kweli wanajua kamoja hakatatosha so mtu lazima aongeze kengine!!



Sasa hako kamsosi tutashiba kweli?
Wali wote huo?Sasa hako kamsosi tutashiba kweli?
IlaVyote!!
unapenda sanaMama ushauri Ila bado upo singleAchana naye,mambo ya kugombana yamepitwa na wakati.
Dawa ya mtu mwenye makwazo ni kuachana naye,ukiweza mlime block.
Baadaye akiona anakukwaza na haujali basi atajiona mjinga.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app







Acha kumkaribisha huyo shabiki wa Mama cita hawashibagi hao ikija kwako iitie mwizi





Heee sasa hapo ulikula au ulidonoadonoa tu?
Heee sasa hapo ulikula au ulidonoadonoa tu?



Acha kumkaribisha huyo shabiki wa Mama cita hawashibagi hao ikija kwako iitie mwizi
![]()




Mijambazi hyo usiikaribishe kbsa akigonga hodi ipige na mwiko



Tulia wewe karaskonyetoAcha kumkaribisha huyo shabiki wa Mama cita hawashibagi hao ikija kwako iitie mwizi
![]()
Mijambazi hyo usiikaribishe kbsa akigonga hodi ipige na mwiko![]()






Wewe kwendraa hukoo....andaa msosi mwingine nije chapu
Selfika kwanza.Saint Anne na Carrasco putin mmeamua kunipiga majungu hehehehe kweli mti wenye matunda?...............
😁 Shangazi wa bushiiiii!Wewe shangazi wa mjini
Mimi tu najiona mzee sikuhizi kusuka nywele kama hizo
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Wali upo wa kutoshaWewe kwendraa hukoo....andaa msosi mwingine nije chapu