Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Morning mamaa! ✌️Morning selfika👊
Morning mamaa! ✌️Morning selfika👊
Sijui hata.. Saint Anne njoo mjibu mchumbako wigee!Huyo dadake
Ni memba wa jf![]()
Unapenda watoto au unapendaThat's good News watoto ni baraka!! Hebu nami nichakarikee fastaa![]()

Kama nyote ni watu wazima na wenye busara, nendeni mkayamalize huko huko mlikokwaziana. Kama ni PM iwe ni PM. Kama ni mubashara basi iwe mubashara. JF hapa uwanjani ni kunufaisha wambea tu na wapenda drama....na hakuna faida yo yote mtapata mbali na kujidharaulisha tu!Wapendwa naombeni mbwinu ya kumtapikia mtu nyongo humu jf pasipo kumkwaza...maana ni mtu ninaemuheshimu ila amenikwaza kufikia maximum..friji langu limegoma kabisa kugandisha nimejitahidi kukausha na upole wangu lakini wapiiii...embu nipeni vi-tips uvumilivu umefika mwisho.... Ahsanteni



Vyote!!Unapenda watoto au unapenda![]()
Mnagombania mabwana au 😂😂😂😂Wapendwa naombeni mbwinu ya kumtapikia mtu nyongo humu jf pasipo kumkwaza 😂😂...maana ni mtu ninaemuheshimu ila amenikwaza kufikia maximum..friji langu limegoma kabisa kugandisha nimejitahidi kukausha na upole wangu lakini wapiiii...embu nipeni vi-tips uvumilivu umefika mwisho.... Ahsanteni
Saint AnneKweli BL każidi.
Ahsante Sana kaka ake..nakaa hapa🤗😍Kama nyote ni watu wazima na wenye busara, nendeni mkayamalize huko huko mlikokwaziana. Kama ni PM iwe ni PM. Kama ni mubashara basi iwe mubashara. JF hapa uwanjani ni kunufaisha wambea tu na wapenda drama....na hakuna faida yo yote mtapata mbali na kujidharaulisha tu!![]()
This is very true, ngoja niscreenshot nimtumie mtu...Introverts don't lack social skills, they're just not interested. They can talk. But not with everyone. They need the right mood, the right place, the right person. They need to feel your vibe and trust you. Then, they talk.
UrongooooThis is very true, ngoja niscreenshot nimtumie mtu...
Hahahaa wewe extrovert huezi elewa hizi mambo ujueUrongoooo
😂😂😂 kwendeni hukoHahahaa wewe extrovert huezi elewa hizi mambo ujue

Wa 7?Weee Hapana mie juu mwembamba kidogo! Dadaaa kajaa sana angalia hata mikono tumbo lake limejaa kote!!
. Happiest birthday to her... Aishi miaka Elfukumiiiiiii
41 Analingana na dadangu wa 2...mie wa 7!


Ukisikia mbuzi kafia kwa muuza supu ndo hii sasa ya mm kuitwa kutoa ushauri juu ya kumwaga umbea





Unataka kunichumia dhambi
Achana naye,mambo ya kugombana yamepitwa na wakati.Morning selfika![]()
Hivi ulisema unakuja kumtolea mahali binti yangu Saint Anne mwezi huu eeh?Umri wapi wewe
Nakuzoom tu![]()