Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,920
- 147,702
Ni kweli naona wakinga na wabena kwasasa wamegundulia hiyo biashara ya mikopo,@mawardat Yuko vizuri halafu Ni dogo tu hata miaka 30 hajafika sema Ile ishu ya mikopo inampa pesa Sana maana ana ofisi nchi nzima ofisi zaidi ya 400 kila wilaya