Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Afu mie najua wee makao yako makuu ni Njombe, kumbe Iringa, nweiii siku yeyote nikiwa nateremka home ntakustua nikusabahii Mr F.

Kwa kweli njombee kuna baridi, yaan nlkua nakaa ndani na jiko la mkaa mweeh. Kwa kulala navaa vitu vingi na jacket juu.

Duuh pale hapanaaaaa,
Pamoja Sana mdgo wangu karibu mgeni nitakukaribisha na ulanzi kwanza
 
napendaa ku kwich kwich kuliko kulaaa,
Urungu mtamuuu bhanaaa, chezea mti nyamaa weyeee. Lol
Uliitwa/ulikuwa unatafutwa kule kwenye uzi wa style ya kifo cha mende ili uweze kusema/kutoa ya moyoni kuhusu style yako pendwa pindi unapokuwa unazagamuliwa
 
Uliitwa/ulikuwa unatafutwa kule kwenye uzi wa style ya kifo cha mende ili uweze kusema/kutoa ya moyoni kuhusu style yako pendwa pindi unapokuwa unazagamuliwa
ndo nimechekaaa mnooo, cjauona huo uziii, kanitag kwan
 
Back
Top Bottom