Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Namfananisha na boss ledi wetukwa dada ake, chibongeee.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Namfananisha na boss ledi wetukwa dada ake, chibongeee.
Pamoja Sana mdgo wangu karibu mgeni nitakukaribisha na ulanzi kwanzaAfu mie najua wee makao yako makuu ni Njombe, kumbe Iringa, nweiii siku yeyote nikiwa nateremka home ntakustua nikusabahii Mr F.
Kwa kweli njombee kuna baridi, yaan nlkua nakaa ndani na jiko la mkaa mweeh. Kwa kulala navaa vitu vingi na jacket juu.
Duuh pale hapanaaaaa,
Dada amezidi wee chibongeee kweli.
Hatufanani hataMmefananaa kwa kweli.

Ulanzi nimekunywaaa sanaa likizo hii,Pamoja Sana mdgo wangu karibu mgeni nitakukaribisha na ulanzi kwanza







-Hatufanani hata
Mimi macho madogo nayatolea wapi
Nina mimacho inajaa kwnye komwe lote
Na komwe langu kama lote
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app






sitaki kucheka mie lol.Hapanaaaa.
Nipo kichanganiMtaalamu mzee wa totoz nipasie moja basi,,,unapita lini mzee ipogolo ?
-sitaki kucheka mie lol.

Uliitwa/ulikuwa unatafutwa kule kwenye uzi wa style ya kifo cha mende ili uweze kusema/kutoa ya moyoni kuhusu style yako pendwa pindi unapokuwa unazagamuliwanapendaa ku kwich kwich kuliko kulaaa,
Urungu mtamuuu bhanaaa, chezea mti nyamaa weyeee. Lol
Dogo basi lako pendwa limepotelea wapi??Hilo soko liko vizuri mnooo, tatizo humo ndani watumiaji ndo wana haribu khaaah.
Nlizurura sana hapo mwezi uliopita, yaan Njombe ni ndogo kumbee.
Nlikaa km week 3.
Lutirage,
Joshoni
Mjimwema
Mpechi
hatareee tupu. Ushuani ndo kunaitwa "gombati" nlikua hapo.
Uliitwa/ulikuwa unatafutwa kule kwenye uzi wa style ya kifo cha mende ili uweze kusema/kutoa ya moyoni kuhusu style yako pendwa pindi unapokuwa unazagamuliwa







ndo nimechekaaa mnooo, cjauona huo uziii, kanitag kwanDogo basi lako pendwa limepotelea wapi??
Tavavil?





hata najua bas, saiv nimerud kwa wachina New force.




muongoooKweli BL każidi.Kweli tena
Ona
Komwe kama la hakika Reubenmuongooo
Wee yule amezidi mnooo.Komwe kama la hakika Reuben
Nilipita shule ya Tanga naona ofisi zao zimefungwa,hata najua bas, saiv nimerud kwa wachina New force.