Kichangani ya wapi bossNipo kichangani
Nilipita shule ya Tanga naona ofisi zao zimefungwa,
New force sijawahi,
Nilikuwa naipenda sumry.




sahv nimehamia New Force.Mie super feo/selous tour foreversahv nimehamia New Force.

Hizo hapanaaaaa.Mie super feo/selous tour forever![]()
Pia hii Nadhani Ni sababu labda walioachiwa wameshindwa kumuduAu kwavile mmiliki kafa na biashara kufa,
Super feo/selous itambe tu kwa huku. Kila siku anaongeza route
Kwa kweli ni haswaaa.Au kwavile mmiliki kafa na biashara kufa,
Super feo/selous itambe tu kwa huku. Kila siku anaongeza route
Amekufa alieongea hayo maneno Ni msimamiz lakini nahisi Ni Mambo ya marehemu kufa na chakeKwanza si amekufa yule mzee? Dar to Songea, Super feo ni Mafia, waligombana na new force.
mkono ulipigwa hapoo
Tena ile ya Bombambili ndo kaliiii, yaan Mabenaa anakuja motooo, toka kwa mikopooo bubu had petrol station,
Sana mabena ndiyo habari ya songea na biashara ya kukopesha pesa.
Msigwa wamuacheKwanza si amekufa yule mzee? Dar to Songea, Super feo ni Mafia, waligombana na new force.
mkono ulipigwa hapoo

Weeeeh hii ni kama majiHizo hapanaaaaa.

Kafa hata miezi sita haijafika eti,Pia hii Nadhani Ni sababu labda walioachiwa wameshindwa kumudu
@mawardat Yuko vizuri halafu Ni dogo tu hata miaka 30 hajafika sema Ile ishu ya mikopo inampa pesa Sana maana ana ofisi nchi nzima ofisi zaidi ya 400 kila wilayaTena ile ya Bombambili ndo kaliiii, yaan Mabenaa anakuja motooo, toka kwa mikopooo bubu had petrol station,
Na ile ya mitawa kwa mbelee yake pia eeeh? Watu wana helaaa aseeeh. Afu Songea imebadilika sanaa.
Yaani mabenaTena ile ya Bombambili ndo kaliiii, yaan Mabenaa anakuja motooo, toka kwa mikopooo bubu had petrol station,
Na ile ya mitawa kwa mbelee yake pia eeeh? Watu wana helaaa aseeeh. Afu Songea imebadilika sanaa.
. Ya bombambili ushawahi kupita mida ya jioni??