Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwanza si amekufa yule mzee? Dar to Songea, Super feo ni Mafia, waligombana na new force.
mkono ulipigwa hapoo
Amekufa alieongea hayo maneno Ni msimamiz lakini nahisi Ni Mambo ya marehemu kufa na chake
 
Tena ile ya Bombambili ndo kaliiii, yaan Mabenaa anakuja motooo, toka kwa mikopooo bubu had petrol station,

Na ile ya mitawa kwa mbelee yake pia eeeh? Watu wana helaaa aseeeh. Afu Songea imebadilika sanaa.
@mawardat Yuko vizuri halafu Ni dogo tu hata miaka 30 hajafika sema Ile ishu ya mikopo inampa pesa Sana maana ana ofisi nchi nzima ofisi zaidi ya 400 kila wilaya
 
Tena ile ya Bombambili ndo kaliiii, yaan Mabenaa anakuja motooo, toka kwa mikopooo bubu had petrol station,

Na ile ya mitawa kwa mbelee yake pia eeeh? Watu wana helaaa aseeeh. Afu Songea imebadilika sanaa.
Yaani mabena. Ya bombambili ushawahi kupita mida ya jioni??
 
Back
Top Bottom