Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,990
- 48,491
Nitakuja babu mwambie asijali na hivi napenda kulima sasaNa Bibi yako juzi alikuulizia, anasema uje umsaidie kupanda mahindi ukichukua likizo ya Christmas 🤗
Nitakuja babu mwambie asijali na hivi napenda kulima sasaNa Bibi yako juzi alikuulizia, anasema uje umsaidie kupanda mahindi ukichukua likizo ya Christmas 🤗
Kwemaaa upooo?Kwema
Hilo soko liko vizuri mnooo, tatizo humo ndani watumiaji ndo wana haribu khaaah.





hatareee tupu. Ushuani ndo kunaitwa "gombati" nlikua hapo.Bas sawaaa Ngoshaaa, ulipoteaaa mno.Vizuri sana kama ni kwema
Nipo jana na leo
NipoBas sawaaa Ngoshaaa, ulipoteaaa mno.

Njombe ndogo Sana Ila ule msoko dah waliua Sana ,,. Dgo unafika njombe bila kutuona wazee wa Kijiji hizo Ni dharau,, joshoni kule Kuna mamayako mdogo usingizi wanguHilo soko liko vizuri mnooo, tatizo humo ndani watumiaji ndo wana haribu khaaah.
Nlizurura sana hapo mwezi uliopita, yaan Njombe ni ndogo kumbee.
Nlikaa km week 3.
Lutirage,
Joshoni
Mjimwema
Mpechi
hatareee tupu. Ushuani ndo kunaitwa "gombati" nlikua hapo.
TumogheleMy sister is turning 41 yrsView attachment 2437094
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Njombe ndogo Sana Ila ule msoko dah waliua Sana ,,. Dgo unafika njombe bila kutuona wazee wa Kijiji hizo Ni dharau,, joshoni kule Kuna mamayako mdogo usingizi wangu





nimechekaaaa, kuna siku nilipishana na Range pale kanisan Chaugingi, nilikumbukaa wee na v8 yako. Had nkajisemea ukute ndo yeye Mr F, 



ako ningekutafta mbna, nlikaa sanaa week 3, 



Nipo
Wewe ndo unapotea mno au kwa sababu unapenda kuzagamuana ndo maana unapotea![]()






napendaa ku kwich kwich kuliko kulaaa, Big bday kwake,,,, booonge la shangazMy sister is turning 41 yrsView attachment 2437094
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app



Hbday to herMy sister is turning 41 yrsView attachment 2437094
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
My sister is turning 41 yrsView attachment 2437094
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


kwa dada ake, chibongeee.Dgo ulifeli Sana ungenichek hata humu jf, nimekaa njombe mwezi mzima nimerud juzi hapa kwa Wala mbwa,, usiku Pana viwanja pale vinabamba nikawa nashangaa tu,Sasa pale soko bubu mitaa Ile Ile najifichaga palenimechekaaaa, kuna siku nilipishana na Range pale kanisan Chaugingi, nilikumbukaa wee na v8 yako. Had nkajisemea ukute ndo yeye Mr F,
Sikua naako ningekutafta mbna, nlikaa sanaa week 3,
Joshoni karibu na makaburi, na palee soko bubu.
Hata stand ya njombe nimeikubali kwa kweli, iko vizureee.
Mtaalamu mzee wa totoz nipasie moja basi,,,unapita lini mzee ipogolo ?
Afu mie najua wee makao yako makuu ni Njombe, kumbe Iringa, nweiii siku yeyote nikiwa nateremka home ntakustua nikusabahii Mr F.Dgo ulifeli Sana ungenichek hata humu jf, nimekaa njombe mwezi mzima nimerud juzi hapa kwa Wala mbwa,, usiku Pana viwanja pale vinabamba nikawa nashangaa tu,Sasa pale soko bubu mitaa Ile Ile najifichaga pale
Mmefananaa kwa kweli.Mama wa Anne,
Big Sisy.View attachment 2437134View attachment 2437135
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app