mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,944
- 43,358
Umejipanga sawasawa lakini? auAstaghafulilah
Umejipanga sawasawa lakini? auAstaghafulilah
Yaan bora hata umuambie, wapo watu 4 humu ndani sijui wakojeee.We jamaa kuwa makini, mambo ya kuchafuana sio
ndo mambo mazuri hayo 😂😂😂dini inaruhusu utakuwa km bugati😂Mimi tayari ila nataka kuongeza
Kwamba hunitaki ama?
Utoto unamsumbuaYaan bora hata umuambie, wapo watu 4 humu ndani sijui wakojeee.
Yaan huyo hapo ndo alivyo ana stress za maisha, hapa anataka lupumzikia watu, bora umpe onyo ajikataeee
Anaboa sanaaaa.
😂😂Shangazi umri umeniacha sana mambo ya kwaito niwaachie nyie wenye miaka 20 mie ndo kusombwa tu 😂😂😂Shangazi umekulaa nn wee??![]()
Shangazi, weekend nitoe out basi 🙂🙂😂😂😂😂😂
Shangaz hunipi mualiko Tena nipo likizo hivoMwezi huu naolewaaa shangaziiii.![]()
Nataniana na shostitio wanguMuache kijana wa watu
Halafu mnapendezanaje shouzstory ziko 2,
Afu huyu captain wako sina mazoea nae eti, yeye ndo anapenda kunichokozaaa, akae kmya aone km mie hata ntamtaja. Wee.



Usijali ngoja nivunje vikoba siunjua Dec hii 😂Shangazi, weekend nitoe out basi 🙂🙂
Anafaidi Baba MtumishiUmeona eeh
Sasa na wewe
Upunguza(ge) hizo emoji
Uache tufaidi uumbaji
Nipe location aunt mm TenaShangaziii picha had siku ya birthday,
Mkuje kupika ubwabwaaa, shughuri pambeeeee
DuhSasa mnakwama wapi![]()
Mbona nimewekaKwanza mtakatifu Anne selfie yako muhimu hapa ,tupia
Pelekeni fire 🔥🔥🔥