Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mpe habari captain wakooo, naona anataka kunijua zaidi, sasa aje taratibuui kabla hajanijua mie, ntamjua yeye kwanzaaa.

akikuzoea weyeeeee inatoshaaaa, sio kila mtuuu. a balance shobo dundo zake. Acheze kwa step.
Wewe tumekuaacha mikononi kwa Bwana wa majeshi.
Hatuna shaka naye.

Chonde Coca,niachie Captain wetu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Wewe tumekuaacha mikononi kwa Bwana wa majeshi.
Hatuna shaka naye.

Chonde Coca,niachie Captain wetu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwan hata huyo captain wako namtaka sasa?
Wee mpe habari, na umpe na , asinitafutie Ban nisiyoitaka.
Mkizoeana nyie inatoshaaaaa, asinigusee kabisaaa, leo mwsho na mwanzo kunizoea vibayaa,

Ajaribu siku nyingine ntamfurahishaaa vizuriii na atafurahi na nafsi yake.

Anitueeeee kabisaaaa.
 
Umri huu ndio watamu, eti? Vitatuua wallah...
IMG-20221201-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom