Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Amen amen Amen best akeee!!
Ndoa ni Jambo jemaaa na la baraka heshima pia I'm very happy for you dears!!!

Nawatakia kheri baraka na amani na mafanikio, heri pia ya mwanzo wa mwezi, nawaombea ukawe mwezi mzuri kwenu na mwisho mzuri wa mwaka kwenu pia , muwe na wakati mwema na maandalizi mema best akeee tupo pamoja sana katika maombi na maandalizi And God bless you guys!! !!!!

All the bests


Bwana Harusi mtarajiwa .
Nawee uoleweee,
 
Mwezi huu naolewaaa shangaziiii.
Babayako atafurahi sana i, unakuja kuolewa, ndugu zako, wazazi wako mtaani hapo watafurahi kabisa mtoto wao anaolewa, kaka zako, dada zako, wadogo zako watafurahi unaolewa... Hivi hio ndoa utafungia wapi kwanza? na nani atafungisha hio ndoa?
 
Back
Top Bottom