Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,725
- 3,795
Bonge la kata wese meal, wapi hii nijialike
Bonge la kata wese meal, wapi hii nijialike
Ok!! Vyema Mwalimu..Lol nipo nakula chaki mapema sana hapaaa !!
Morning beautiful T!hakika
Nikiwa nafanya vikazi vidogo kiredio changu pembeni tunafanya wote .
Yeaaaaah birthday month., mkujee na zawadiii dyadyaaa.Happy New Month wapendwa wa Mungu
From January to December ni Mungu tu
We have been a lot
A lot wanted to kill us in anyway.. ila ni yeye tu ametupigania
#Ni Wewe by Mathias Walichupa![]()
Yaani saivi sikupigiii😂Ndo nikupigie tuzimalize ndani ya siku 3 Lenie View attachment 2432301
Shangaziii picha had siku ya birthday,Mimi pia Shangaz nimemiss kuona rangi ya dubenga shangaz






Voda washaachaga wizi wao eh?Ndo nikupigie tuzimalize ndani ya siku 3 Lenie View attachment 2432301
Mwezi huu naolewaaa shangaziiii.Mlioahidiwa mtaolewa na mlioahidi kuoa mwaka huu nawakumbusha zimebaki siku 30
Happy new month





Kheeeh kumbe babuuu unapendwaa hivyo,,Asante kwa kutukumbusha mpwa. Mi na mama E ndo tupo tunachacharika hapa kabla mwaka haujaisha. Na Bosi Ledi ndiyo anaratibu mipango yote. Inshallah jiandae kula pilau la ukweli mpwa kabla mwaka haujaisha!
View attachment 2432141






Tarehe ngapi babyYeaaaaah birthday month., mkujee na zawadiii dyadyaaa.
Shangazi umekulaa nn wee??Usijali mpwa uniombee mtoto wa mama mkwe aingie kwenye line sema mie itakuwa jioni jioni na giza giza![]()







Birthday tarehe ngapi kwanza??Shangaziii picha had siku ya birthday,
Mkuje kupika ubwabwaaa, shughuri pambeeeee
Ok, well...Ndo nikupigie tuzimalize ndani ya siku 3 Lenie View attachment 2432301
We unaongea kama mwanaume au mwanamke?Mwezi huu naolewaaa shangaziiii.![]()
Ulipokia leo kha!!!...Ok, well...
Nawee uoleweee,Amen amen Amen best akeee!!
Ndoa ni Jambo jemaaa na la baraka heshima pia I'm very happy for you dears!!!
Nawatakia kheri baraka na amani na mafanikio, heri pia ya mwanzo wa mwezi, nawaombea ukawe mwezi mzuri kwenu na mwisho mzuri wa mwaka kwenu pia , muwe na wakati mwema na maandalizi mema best akeee tupo pamoja sana katika maombi na maandalizi And God bless you guys!!!!!!
All the bests
Bwana Harusi mtarajiwa .







Babayako atafurahi sana i, unakuja kuolewa, ndugu zako, wazazi wako mtaani hapo watafurahi kabisa mtoto wao anaolewa, kaka zako, dada zako, wadogo zako watafurahi unaolewa... Hivi hio ndoa utafungia wapi kwanza? na nani atafungisha hio ndoa?Mwezi huu naolewaaa shangaziiii.![]()
Niolewe mara ngapi mie nishaolewaaa!!Nawee uoleweee,![]()
Ok! Well..Niolewe mara ngapi mie nishaolewaaa!!