Unaolewa na yupiMlioahidiwa mtaolewa na mlioahidi kuoa mwaka huu nawakumbusha zimebaki siku 30
Happy new month
Asante kwa kutukumbusha mpwa. Mi na mama E ndo tupo tunachacharika hapa kabla mwaka haujaisha. Na Bosi Ledi ndiyo anaratibu mipango yote. Inshallah jiandae kula pilau la ukweli mpwa kabla mwaka haujaisha!Mlioahidiwa mtaolewa na mlioahidi kuoa mwaka huu nawakumbusha zimebaki siku 30
Happy new month






Sounds goodAsante kwa kutukumbusha mpwa. Mi na mama E ndo tupo tunachacharika hapa kabla mwaka haujaisha. Na Bosi Ledi ndiyo anaratibu mipango yote. Inshallah jiandae kula pilau la ukweli mpwa kabla mwaka haujaisha!
View attachment 2432141
Anaolewa na Daktari. Huyu mpwa yaani basi tu. Ukoo wetu tumemkosa kizembe sana!

Hongera mpwa Nawatakia maandaliz mema na Mungu awabariki sana mpwaAsante kwa kutukumbusha mpwa. Mi na mama E ndo tupo tunachacharika hapa kabla mwaka haujaisha. Na Bosi Ledi ndiyo anaratibu mipango yote. Inshallah jiandae kula pilau la ukweli mpwa kabla mwaka haujaisha!
View attachment 2432141
😀Mshindi ataibukia msikitini sahiz sijui aisee 😂
Asante mpwa.Hongera mpwa Nawatakia maandaliz mema na Mungu awabariki sana mpwa
Usijali mpwa uniombee mtoto wa mama mkwe aingie kwenye line sema mie itakuwa jioni jioni na giza giza😂😂Asante mpwa.
Hata kwako wakati ukifika usinisahau kwenye mnuso. Tena nipo huko huko kwako Rocky City....
Inshallah Molla Atatenda mpwa. Wanasema kwamba Yeye huwa hachelewi wala hawahi. Kila la heri mpwa!Usijali mpwa uniombee mtoto wa mama mkwe aingie kwenye line sema mie itakuwa jioni jioni na giza giza![]()



Asante mpwaInshallah Molla Atatenda mpwa. Wanasema kwamba Yeye huwa hachelewi wala hawahi. Kila la heri mpwa!![]()
Maneno ya Chuga hayohili neno kuna mkaka aliwahi nambia "umezingua temana na mimi" sikuwahi muelewaaaa lol.
JikataeUmeboaaaaa, temana na mimi
Nimekuita nyauManeno ya Chuga hayo
Shida?Nimekuita nyau
Story inataka kupoaShida?
Call me African queenStory inataka kupoa
As an African Queen
Sina dk 😂😂😂😂😂Call me African queen
Loooh binti mzuri ila vocha huna 🤣🤣Sina dk 😂😂😂😂😂
Unapiga piga, hupigi jikataeLoooh binti mzuri ila vocha huna 🤣🤣
Haya nibip, maana siwezi jipendekeza kupiga